malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,636
Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.
Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.
Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.
Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.
Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.
My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.
Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.
Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.
Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.
My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.