Funzo kwa Tanzania: Shirika la ndege la South Africa limefilisika

Funzo kwa Tanzania: Shirika la ndege la South Africa limefilisika

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,636
Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.

Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.

Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.

Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.

Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.

My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
 
Asilimia karibu 70 ya mashirika yote duniani yako kwenye hali mbaya. Yaliyo na bahati ni yale ambayo serikali ni mwekezaji ambapo inayabeba.
 
Hata huku mtaani unakuta mtu kakazana kufungua duka kila siku kwa hasara yupo tu ikifika masika aende akalime anapata mazao anauza anaingiza dukani kwenye hasara
Hapa Nina maanisha serikali zinaweka hela kwenye mfuko uliotoboka
Na kama mwenzetu hapo juu anaona aibu kufunga sijui


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.

Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.

Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.

Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.

Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.

My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
Lingekuwa nchini ya makaburu lisingefilisika, ndege inamsubiri mke wa waziri ndipo iondoke!
 
Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.

Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.

Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.

Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.

Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.

My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
Hivi ni nini siri ya ufanisi wa mashirika kama Qatar Airways na Turkish Airlines mkuu.
 
hata huku mtaani kuna biashara hiyo hiyo ya "duka la mangi" unayofirisika wewe kuna mwenzio bado anapata faida
 
Asilimia karibu 70 ya mashirika yote duniani yako kwenye hali mbaya. Yaliyo na bahati ni yale ambayo serikali ni mwekezaji ambapo inayabeba.
Yanasurvive kwasababu baada ya kutoa gawiwo kila mwaka kwenda serikalini bali yao ndio yanapakoea gawiwo toka serikalini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yp
Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.

Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.

Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.

Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.

Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.

My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
pengne mafuta ya ndege yangeshuka bei we ndege mija inajazwa lita ad laki tano ni pesa nyingi sana
 
[emoji119][emoji119][emoji119]
Screenshot_20200124-185230-picsay.jpeg
 
Thubutu! India serikali imekosa mmbia wa kumsukumia shirika lao!
Asilimia karibu 70 ya mashirika yote duniani yako kwenye hali mbaya. Yaliyo na bahati ni yale ambayo serikali ni mwekezaji ambapo inayabeba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna shirika lolote la ndege Africa linalojiendesha kwa faida?
 
Back
Top Bottom