kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Yapo kama sumbawanga bundi air line,kigoma ungo air travel, gamboshi mikwara air fly nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo kama sumbawanga bundi air line,kigoma ungo air travel, gamboshi mikwara air fly nk
ATCL inadaiwa $4m na hiyo South African AirwaysLipo, shirika la ndege la Tanzania. Hii ni kwa mujibu wa mzee meko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hipi na hipi tukuchambulie nzuri nzuri usije ukanunua skrepa
Nipo kwenye mall moja kwenye nchi fulani, kila siku wanakuja watu wapya kuchukua frem na kuanza biashara lakini wanafunga biashara zao baada ya miezi 3-6 baada ya kupata hasara. Laiti mtu angewaambia ukweli wasingeanzisha hizo biashara kichaa.Tusitishane biashara huzaliwa na kufa. Kama wao wamekufa basi Airtz ndio imezaliwa sasa . Ukifuata maisha ya watu wengine utapata tabu saaaaaaana. Ishi maisha yako usiige. Airtz ikifa itafufuka Kq maisha yanasonga.
Ethiopia Airways mkuu lakini watu wana mashaka maana nchi haina uhuru kama sehemu nyinginezo. Serikali ina full control ya flow of information so hata kama kuna hasara, watu hawawezi kujuaHivi kuna shirika lolote la ndege Africa linalojiendesha kwa faida?
Kwa mawazo yako kila kitokeacho SA lazima kitokee na TZ?Shirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.
Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.
Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.
Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.
Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.
My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
Hivi kuna shirika lolote la ndege Africa linalojiendesha kwa faida?
Haija tokea au kuzugumzwa Kuna shirika la ndege hapa duniani limeingiza faida kiasi Fulani, Ila mashirika ya ndege yanayo pata tija(faida) yanabaki kimya tu au kinacho sifiwa NI huduma nzuri tu sio faidaShirika kongwe la ndege la Afrika Kusini, limetangaza kufuta safari zake za nje ya nchi na baadhi ya safari za ndani, kutokana na kuishiwa fedha za uendesheji shirika linalozalisha hasara kwa miaka 9 mfululizo hadi sasa.
Shrika hili liliopata tuzo mbalimbali kwa ubora na huduma nzuri afrika na dunia kwa ujumla limeingia na kuwekwa katika uangalizi kwa mfilisi kutokana na kiasi kikubwa cha madni wanayodaiwa ambayo ni zaidi ya $3.9 billion toka 1994.
Habari hii ni mbaya na ishara mbaya kwa mashirika mengine ya ndege kutokana na gharama kubwa za uendeshaji na hasara ya mara kwa mara. Mashirika mengine yaliyo katika hali mbaya ya kiuchumi ni shirika la ndege la Kenya linaloendesha pia kwa hasara kwa zaidi ya miaka 5.
Hii inaleta tahadhari kubwa kwa mashirika ya ndege na biashara hii kwa ujumla.
Mashirika mengine ni Premera Air (Brazil), Saratov Air (Russia), Germania (German), Carfonia Parcific (USA), Jet Airways (India) na mengine mengi.
My take:
Serikali inayoendesha biashara ya usafirishaji wa anga (airlines) ni jasiri sana.
Kweli,hapo umenifumbua macho. Kumbe mafuta ni issue sana kwenye haya mashirikaWese kaka, Qatar na Emirates mafuta kwao sio issue ila kwa Turkish bado natafiti
Hivi kuna shirika lolote la ndege Africa linalojiendesha kwa faida?
Sijawahi kuona mnaongelea Ethiopia airway ....kila kukicha ni Kenya na South Africa.... Kama mna nia nzur kwa nini msilete nyuzi kuelezea na Ethiopia walivyofanikiwa ili serikali ijifunze pia hapo?....Inaonekana siku ukisikia Ndege ya ATCL imeanguka utachekelea sana.
Mshauri sasa sio kukosoa tu.... Hamuwezi Kufundisha sababu ninyi sio professional kwenye biashara ya ndege na mambo ya avionics kwa ujumla.Yaani sisi tuanze kuifundisha serikali hii "sikivu" nini cha kufanya?? Serikali ina vyombo kibao na watu makini wa kupata taarifa isubiri thread za jf? Sisi kazi yetu ni kukosoa na kushauri kwa nia njema kabisa jukumu la kusikia na kufanyia kazi ushauri si letu tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni nini siri ya ufanisi wa mashirika kama Qatar Airways na Turkish Airlines mkuu.
[/QUOTe
Yanapata ruzuku toka serikali zao