Funzo uchaguzi wa Kenya: Wananchi wamechagua uchumi badala ya mabadiliko ya vifungu vya katiba, CCM wako njia sahihi ya kujenga uchumi

Funzo uchaguzi wa Kenya: Wananchi wamechagua uchumi badala ya mabadiliko ya vifungu vya katiba, CCM wako njia sahihi ya kujenga uchumi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
HANDSHAKE kati ya Raila Amolo Odinga na Uhuru Kenyata ililenga kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba ili kuweka vyeo, pamoja na mambo mengine mengi. William Rutto aliwaambia wakenya kwamba shida yao sio katiba nyingine, shida yake ni kukomboa mama mboga na mtu wa bodaboda, kwamba shida ya wakenya ni uchumi, pesa ikae mfukoni na kuondoa umasikini.

Kwa namna yoyote ile hii ndio ajenda kuu kwa sasa kwa bara la Afrika. Wananchi hawali hayo vifungu ya katiba, haviwaletei barabara, maji, vituo vya afya, mbolea, reli au umeme. Nadhani ni swala la CCM kukazia hapo na kufafanua kwa kina, watanzania ni waelewa sana.

Chadema wamesimama na ajenda ya kushindwa, ajenda kama ya Raila Amolo Odinga ya kugawana vyeo na kuongeza matumizi ya serikali. Lema anataka awe Gavana wa Arusha, alishwe na kuvishwa na serikali na kutembelea V8. Kimsingi ni kujiposition kwa ajili ya ulafi.

Watanzania tutulie katiba hii inatosha, kama ina shida mahali ni kufanya rekebisho dogo tu!
 
Hapa badala ya BBI tunaiita maridhiano, kugawana chakula, kila Kabila lile mabaki baada watu wenye meno na makabila yao kushiba. BBI yetu ilianzia kwa Warioba walipoungana CHADEMA na Waarabu wa CUF wakijiita UKAWA (=sawa na AZIMIO la Raila na Uhuru, Wakikuyu na Wajaluo). Wakakubaliana serkali 3: Waarabu wachukue Zanzibar watawale pre-SMZ na huku tuwe na Serkali ya Majimbo, yaani makabila.

Wakashindwa 87%/13% sasa wanataka maridhiano tuwe na 13%/87% kwa kuwapawapa vyeo na sera bila kupitia vyombo halali kama NEC na Bunge.

Tishio lao ni kwamba bila kuwapa hii BBI yaani Maridhiano, watafanya fujo kuhakik8sha uchaguzi 2025 haufanyiki. Je hii inawezekana au tuseme 13% wana ubavu wa kuweka paralysis Tanzania hii ya leo? Yetu macho, tusubirini.
 
Kitu nilicho fikia kukiwaza wengi sisi uaga ni watu wa kufata mkumbo usio manufaa,huyo ruto yupo hapo alipo kwa katiba mpya, na hao wengine nao mifumo ilikua ni iyo ila tuu kupitia njia iyoo....siasa ni mbinu ya ushawishi
 
Tunataka uchumi, nani atakula katiba?

Kwani hicho chama chako kimebadili katiba? Kimefanya nini cha maana kwa katiba hio hio mnayoing’ang’ania.! Tumia akiri ww
 
Unakwiba,wewe na kundi lenu,hakuna sheria zifaazo kuwaadabisha wakwibaji pamoja na kuweka mifumo ya kuwadhibiti wa kwibaji, wewe/ninyi ndio mta mkomboa mama mboga na mutu ya bodaboda🤔
 
Unakwiba,wewe na kundi lenu,hakuna sheria zifaazo kuwaadabisha wakwibaji pamoja na kuweka mifumo ya kuwadhibiti wa kwibaji, wewe/ninyi ndio mta mkomboa mama mboga na mutu ya bodaboda🤔
Sheria za kuzuia wizi zipo
 
..bila katiba mpya na bora, pamoja na tume huru ya uchaguzi, wananchi wa kenya wasingeweza kuchagua uchumi.

..usisahau kwamba kauli mbiu ya Cdm ni Uhuru, demokrasia, na maendeleo ya watu.
 
Sheria za kuzuia wizi zipo
Kwanini wanachukua chako mapema wamejaamo,Moja ama wanalindana,au wanakwiba Kwa kushirikiana,au mifumo ya haki haitekelezi majukumu yake,au vina ingizwa kwenye hiyo cheni ya kukwiba au wote tuna vinasaba vya kukwiba🤔
 
HANDSHAKE kati ya Raila Amolo Odinga na Uhuru Kenyata ililenga kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba ili kuweka vyeo, pamoja na mambo mengi.

William Rutto aliwaambia wakenya kwamba shida yao sio katiba nyingine, shida yake ni kukomboa mama mboga na mtu ya bodaboda, kwamba shida ya wakenya ni uchumi, pesa ikae mfukoni, kuondoa umasikini.

Kwa namna yoyote ile hii ndio ajenda kuu kwa sasa kwa bara la Afrika. Wananchi hawali hayo mavifungu ya katiba, hayawaletei barabara, maji, vituo vya afya, mbolea, reli, umeme.

Nadhani ni suala la CCM kukazia tu hapo na kufafanua kwa kina. Watanzania ni waelewa sana.

Chadema wamesimama na ajenda ya kushindwa, ajenda kama ya Raila Amolo Odinga! Ya kugawana vyeo, kuongeza matumizi ya serikali. Lema anataka awe Gavana wa Arusha, alishwe na kuvishwq na serikali, atembelee V8. Kimsingi ni kujiposition kwa ajili ya ulafi.

Watanzania tutulie, katiba hii inatosha, kama Ina shida mahali, ni kufanya rekebisho dogo tu!
Utaishia kuwa mshangiliaji wenzako wanakula nchi mpuuzi wewe
 
Utaishia kuwa mshangiliaji wenzako wanakula nchi mpuuzi wewe
Kila mtu ana engo yake ya kula, Mbowe akienda ikulu Kuna namna anakula, Lissu Kuna namna anakula, hata wewe, CDM wanakuwekea bando la buku, unakula
 
Kwanini wanachukua chako mapema wamejaamo,Moja ama wanalindana,au wanakwiba Kwa kushirikiana,au mifumo ya haki haitekelezi majukumu yake,au vina ingizwa kwenye hiyo cheni ya kukwiba au wote tuna vinasaba vya kukwiba🤔
Muulize Mbowe na Lissu, Walipewa milioni 500 na sabodo wajenge Ofisi, wakala zote, na hakuna hata risiti.

Wamepokea ruzuku za mabilioni, chama hakina hata kiwanja Cha 20/20
 
Hivi chiembe kwann mnajipa akili kuwa ni lazima kuanzisha Uzi?

Haya mashudu mengine mnayoandikaga zaidi ya kujaza server ya JF mnatumalizia chaji za simu.

Mnaishi Kwa kutembea na biti hadi lini?? Hamuoni aibu hivi?

Kwahiyo unambishia Shaka boss wako aliyesema Kuna umuhimu kubadili katiba?
 
..katiba bora na tume huru ndiyo imewawezesha wakenya kuchagua uchumi.

..kabla ya hapo wakenya walimwaga damu wakipigania demokrasia, katiba mpya, na tume huru.
 
BBI yetu ilianzia kwa Warioba walipoungana CHADEMA na Waarabu wa CUF wakijiita UKAWA (=sawa na AZIMIO la Raila na Uhuru, Wakikuyu na Wajaluo). Wakakubaliana serkali 3: Waarabu wachukue Zanzibar watawale pre-SMZ na huku tuwe na Serkali ya Majimbo, yaani makabila.
Hivi Zanzibar ni waarabu. Hivi ushamba na ujinga huu utakuondokea lini?
 
Muulize Mbowe na Lissu, Walipewa milioni 500 na sabodo wajenge Ofisi, wakala zote, na hakuna hata risiti.

Wamepokea ruzuku za mabilioni, chama hakina hata kiwanja Cha 20/20
Namuuliza Chiembe
 
Hivi chiembe kwann mnajipa akili kuwa ni lazima kuanzisha Uzi?

Haya mashudu mengine mnayoandikaga zaidi ya kujaza server ya JF mnatumalizia chaji za simu.

Mnaishi Kwa kutembea na biti hadi lini?? Hamuoni aibu hivi?
Wenzio ndio ajira zao🚶
 
Back
Top Bottom