Funzo uchaguzi wa Kenya: Wananchi wamechagua uchumi badala ya mabadiliko ya vifungu vya katiba, CCM wako njia sahihi ya kujenga uchumi

Funzo uchaguzi wa Kenya: Wananchi wamechagua uchumi badala ya mabadiliko ya vifungu vya katiba, CCM wako njia sahihi ya kujenga uchumi

Hivi chiembe kwann mnajipa akili kuwa ni lazima kuanzisha Uzi?

Haya mashudu mengine mnayoandikaga zaidi ya kujaza server ya JF mnatumalizia chaji za simu.

Mnaishi Kwa kutembea na biti hadi lini?? Hamuoni aibu hivi?

Kwahiyo unambishia Shaka boss wako aliyesema Kuna umuhimu kubadili katiba?
Una akili kama za hiyo profile picture
 
Back
Top Bottom