kapata 79Gwajiboy kapata ngapi tuanzie hapo
Hatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kakaMdee anashinda tena.
I meant Halima na sio AminaHatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kaka
Ok ngoja tuone ila mimi mkeka wangu nampa Mdee.Hatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kaka
Mmehangaika weeeeeee mmeishia kuokota Korona, Halima is a hard nut to crack😀Hatashinda Amina atapita huyu kijana. KUMBUKA wapiga Kura wengi ni vijana na wamama. Watampigia Kura huyu kaka
Bora kakosa. Gwajboy angepata angeligawa kanisa la Bwana. We unadhani kwa siasa zetu za bongo jinsi wabunge wanavyowananga wenye itikadi tofauti nao, unadhani ni mwanachamaa gani wa upinzani angebaki muumini wake!!?? Angebaki na waccm wenzake tu!!!Mdee anashinda tena.
Naona Gwajboy aka Mkono wa baunsa, kapata kura 79 kajitahidi kawa wa tatu.
Kawe pagumu sio Kama huko Nyang'waleOk ngoja tuone ila mimi mkeka wangu nampa Mdee.