Vicky-Abelly
Member
- May 27, 2016
- 69
- 89
JF ina kila kitu, walisema mapema kuwa ni mtu wa mkubwa fulani. Leo imewekwa bayana na uzi ukafukuliwa ulikokuwa, duh.
Yaani wajumbe wa kawe walikuwa wanajikomba kwa baba kiasi hicho?
Walimpitisha kwa kuwa anavinasaba na mkubwa?
Maajabu hayatakaa yaishe Tz
Yaani wajumbe wa kawe walikuwa wanajikomba kwa baba kiasi hicho?
Walimpitisha kwa kuwa anavinasaba na mkubwa?
Maajabu hayatakaa yaishe Tz