Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

JF ina kila kitu, walisema mapema kuwa ni mtu wa mkubwa fulani. Leo imewekwa bayana na uzi ukafukuliwa ulikokuwa, duh.

Yaani wajumbe wa kawe walikuwa wanajikomba kwa baba kiasi hicho?
Walimpitisha kwa kuwa anavinasaba na mkubwa?

Maajabu hayatakaa yaishe Tz
 
Habari,

Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?

Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?

Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?

Ndugu yake JIWE, leo kwenye hotuba kumtambulisha GWAJI KWICHI KWICHI KASEMA , ila tunaomba utuambie DOTTO JAMES ni nani hasa?
 
Habari,

Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?

Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?

Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?

Magufuli: Alieshinda kura za maoni CCM Kawe ni mtoto wa Dada yangu​

 
Gwaji alikosea kuitumia Japn na USA, akadhani Kawe ni malimbukeni wa kwenda majuu, nje ya nchi! !!
pili, alishushwa cheo na mungu wake, kuwa mbunge, sasa kaukosa, anaendelea kushuka zaidi, kule ufufuo hatarudi, mungu wake hamtaki , sijui itakuwaje,

Tatu Alimuombea mabaya Bashite, akidhani yeye yuko sahihi, kumbe maskini hakujua alikuwa ana panda mbegu ya uovu, sasa anavuna alichopanda,

alisahau Mungu ni wa wote! Bora angemuombea Bashite Neema tele! na kumsamehe!
 
Back
Top Bottom