Vicky-Abelly
Member
- May 27, 2016
- 69
- 89
Ndugu yake JIWE, leo kwenye hotuba kumtambulisha GWAJI KWICHI KWICHI KASEMA , ila tunaomba utuambie DOTTO JAMES ni nani hasa?Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?
Siri ya ushindi wake imefichuliwa na Mjomba wake leo hii tarehe 9/10/20.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
wajumbe walitonywa mapema sana wampitishe, JIWE akapima upepo, ila kuna tetesi kwamba.......!Magufuli: Alieshinda kura za maoni CCM Kawe ni mtoto wa Dada yangu
Gwajima akawaaadaa anawapeleka marekani, kumbe "panya road" ndio mrekani.wajumbe walitonywa mapema sana wampitishe, JIWE akapima upepo, ila kuna tetesi kwamba.......!