Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Nahman

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2023
Posts
599
Reaction score
1,749
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
 
Hongera sana ndugu nafurahi kusikia hivyo Ila jihadhari na pombe kupitiliza na marafiki wabaya au ndugu wabaya ili wanao wasilelewe na mzazi mmojq huku mwingine hakiwa Hana access hata ya kuwagusa .

I feel your happiness natamani kuandika kingereza zaidi ili unielewe Ila ndiyo vile nagusa tumaneno tuchache ambayo nimebahatika kukariri hapa jamvini kwetu .

Hongera sana kwa kuitwa baba japo baba si shati kusema lichafuke ufue ,baba ni majukumu ,baba ni taswira na uso wa furaha familia inapolia Tumaini litoke kwako .

Hongera kaka
 
Sina la kusema zaidi ya kukupa HONGERA!

images (1) (1).jpeg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa......

Ulinipigia na kuniambia ...nahman unaendeleaje na kazi...Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo
Kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama
African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Hongera sana
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Angalia kambi ya kataa ndoa itaanza kukuambia hao watoto sio wako uligongewa na masela! Ili ujihakikishie ni wako mpaka upime DNA! 😊😂
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Waombeeee nduguu na usipende sana kutaja mafanikioo yakoo kuna madada kibaoo humu wanatamani kuolewa wapi wakionaa haya ndioo doh
 
Back
Top Bottom