Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Hongera sana ndugu nafurahi kusikia hivyo Ila jihadhari na pombe kupitiliza na marafiki wabaya au ndugu wabaya ili wanao wasilelewe na mzazi mmojq huku mwingine hakiwa Hana access hata ya kuwagusa .

I feel your happiness natamani kuandika kingereza zaidi ili unielewe Ila ndiyo vile nagusa tumaneno tuchache ambayo nimebahatika kukariri hapa jamvini kwetu .

Hongera sana kwa kuitwa baba japo baba si shati kusema lichafuke ufue ,baba ni majukumu ,baba ni taswira na uso wa furaha familia inapolia Tumaini litoke kwako .

Hongera kaka
Ahsante sana kiongozi
Tuko pamoja boss wangu
 
Wenzyo huku wanatuambia tumeze pitu,Wanaume wote WANGEKUA kama wewe Dunia ingekua ni sehemu salama,
Hongera kwakuufarahia ugeni huu ambao unabadilisha historia ya maisha yako kwa ujumla.

Kama baba Yao alivyowakubali, na kuwafurahia basi na iwe hivyo siku zote za maisha Yao, wakakubalike na kufurahiwa popote watakapo kua.

Ile nyote iliyochomoza kipindi wanazaliwa na ing'ae siku zote za maisha Yao.

Na mapenzi ya Mungu yatimie katika maisha Yao hapa Dunian kama huko Mbinguni.

Hongera new daddie,baba wawili,baba's dotta

Mungu akutunze wewe na mama mapacha wako milele Daima
Asante sana
Nakuombea na wewe siku moja
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
hongera sana baby mama wa jamaa huyu!!

namm bado nasubir wangu
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Congratulations mkuu
 
DR Mambo Jambo The chance of getting twins are very “slim or no chance at all” for those lineage that they dont have twins at all?

Madaktari na waliosoma biology mtusaidie.

Mkuu Hongera sana.
Kwanza Nampa Hongera Sana Mkuu kwa Kuongeza Familia

Ni kweli Kabisa Ila Sio kweli kwa 100%
According to epidemiology and Biostatics..
genetic Inacontribute Only to Occurence of Fraternal Twins Na mara Nyingi ni Kwa Upande wa Maternal na sio Partenal..

Ngoja nishuke Nondo za Epidemiology na Biostatistics..

Kwenye Fraternal Twins likelihood ya Kupata fraternal twins (au dizygotic) huwa inaweza Kusababishwa au kuwa Inflenced na Genetic au Lineage kama ulivyosema .

Yaani kama mwanamke akitokea Katika Familia ya Wanaozaa Mapacha na Mara Nyingi chance yake ya kuzaa.Mapacha huwa iko juu sana kuliko ambaye hana Lineage japo inaweza kutkea Asiye na Lineage naya akazaa Japo chance yake sip kubwa sana...

Unajua kwanini??

Kuna kitu Kinaitwa hyperovulation (Kutoa Yai zaidi ya Moja kwa ajili ya Kuwa Fertilized)..
Sasa Hii Tabia "hyperovulation" ndo hurithishwa kwa Wanawake waliozaliwa kwenye Familia ya Mapacha na pale unapopachika Mbegu unajikuta Unachavusha Mayai mawili kwa wakati mmoja..

Kwa mapacha wa Kufanana "Identical Twins" hawa hutokea mfuko mmoja "monozygotic" ..
Na hii ndo ukisikia watu wanasema Majariwa ya Mungu ni haya maana Haihitaji Genetic Predisposition Mbegu Mbili Zifertilize Yai Moja au Yai moja baada ya Kuwa Fertilised lijigawe mara mbili...(ahuu ni Muujiza tu)

Kuna hii nakupa chukua Ethinicity pia Huchangia Kupata Mapacha waarabu na wahindi Ni Vigumu sana Kupata Mapacha Kuliko Waafrika..

Nakuongeza na Hii wanawake wenye Umri wa Miaka 30 na zaidi Wako kwenye Higher Rate ya Kupata mapacha kuliko walio chini ya Hapo unajua kwanini kwa sababu Wanawake wengi Kuanzia Miaka 30 Huanza kutoa mayai Mawili kila mwezi badala ya Moja..

Nawasilisha Mkuu
 
Back
Top Bottom