BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
😂😂😂😂🙈🙈🙈🙈🙈Nipo hapa!😂😂😂😂😂😂
Woyooooooooooo.!! 🤸♀️
Mkuu Hiyo Ni probability 😅😅Kuna mmoja hapa ana miaka 38, labda anaweza kunipatia mapacha
Fanya IVFDokta nataman kupata mapacha
Kapime DNA utakuja kunishukuruNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
Naomba nikushauri kitu ambacho Watu wote waliochangia Maoni kwenye huu Uzi wako hawajakigusia Wala hakipo kabisa akilini mwao: -Natumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
Hapo kwa coca sishauri kwa kweli 😂😂😂🙌🙌
😂😂😂😂 kwanin jamanHapo kwa coca sishauri kwa kweli 😂😂😂🙌🙌
Kwahy mtoti si atakua na tabia coca majina haya acha tu😂😂😂😂 kwanin jaman
Mpaka leo dully Sykes anamiaka 40 na ushee anaweka brich, hataki kuoa (team kataa ndoa) 😊😊Muoe..!
Tukisema ume vunja THE UNIVERSAL DECLARATION OF HUMAN RIGHTS tunakosea 😂😂😅😅Hakukua na umuhimu sana kuileta huku
Ukisex kiuoga uoga ndo unapata mapachaHongereni sana
Mlitumia style ipi hadi mkapata mapacha?
USISAHAU KUPIMA DNA NDO UJE UTUTAMBIENatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
coca ana tabia gani 😂😂😂😂Kwahy mtoti si atakua na tabia coca majina haya acha tu