Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Hongera
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Kapime DNA utakuja kunishukuru
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
Naomba nikushauri kitu ambacho Watu wote waliochangia Maoni kwenye huu Uzi wako hawajakigusia Wala hakipo kabisa akilini mwao: -
ILI KUJIHAKIKISHIA UNA FURAHA YA KWELI ENDELEVU, YA KUDUMU NA YA UHAKIKA, WAPIME DNA HAO MAPACHA WOTE ILI UJIRIDHISHE KWAMBA KWELI WEWE NI BABA MZAZI WA WATOTO HAO.
Kiwango Cha Huzuni utakayopata hapo baadaye miaka kadhaa ijayo siku utakapokuja kugundua kwamba wewe ni baba mlezi na wala haukuwa baba mzazi kitalingana sawa na kiwango cha furaha ulichonacho hivi sasa.
 
Mpaka leo dully Sykes anamiaka 40 na ushee anaweka brich, hataki kuoa (team kataa ndoa) 😊😊

Leo mchana niliangalia interview yake vijana wengi currently hawapendi kujipa majukumu ya ndoa kwa maneno yao ndoa Ni kukosa furaha

NB.
Hakuna furaha kubwa maishani Kama kuzaa na mwanamke ama mwanaume wa ndoto zako
 
Natumaini ni wazima ndugu zangu

Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu

Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.

Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.

Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..

Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa

Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.

African beaty aliefanya nkaitwa baba!


Hey queen E
Thank you❤️
USISAHAU KUPIMA DNA NDO UJE UTUTAMBIE
 
Back
Top Bottom