Congrats mann, hold them with your life. Hao ndio ndugu zakoNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako...
Na ww unataka kuitumia? Usijar mkuu ww yyte itakayokukalia sawa nenda nayo tu ili mradi mkwaju humo ndani hakunaga formula ya mapacha.Hongereni sana
Mlitumia style ipi hadi mkapata mapacha?
Hongera sanaNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa......
Ulinipigia na kuniambia ...nahman unaendeleaje na kazi...Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo
Kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
Angalia kambi ya kataa ndoa itaanza kukuambia hao watoto sio wako uligongewa na masela! Ili ujihakikishie ni wako mpaka upime DNA! 😊😂Natumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️
Waombeeee nduguu na usipende sana kutaja mafanikioo yakoo kuna madada kibaoo humu wanatamani kuolewa wapi wakionaa haya ndioo dohNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakike🤓
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank you❤️