BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
HongeraNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakikeπ€
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank youβ€οΈ
πππππππππNipo hapa!ππππππ
Woyooooooooooo.!! π€ΈββοΈ
Mkuu Hiyo Ni probability π πKuna mmoja hapa ana miaka 38, labda anaweza kunipatia mapacha
Fanya IVFDokta nataman kupata mapacha
Kapime DNA utakuja kunishukuruNatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakikeπ€
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank youβ€οΈ
Naomba nikushauri kitu ambacho Watu wote waliochangia Maoni kwenye huu Uzi wako hawajakigusia Wala hakipo kabisa akilini mwao: -Natumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakikeπ€
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank youβ€οΈ
Hapo kwa coca sishauri kwa kweli πππππ
ππππ kwanin jamanHapo kwa coca sishauri kwa kweli πππππ
Kwahy mtoti si atakua na tabia coca majina haya acha tuππππ kwanin jaman
Mpaka leo dully Sykes anamiaka 40 na ushee anaweka brich, hataki kuoa (team kataa ndoa) ππMuoe..!
Tukisema ume vunja THE UNIVERSAL DECLARATION OF HUMAN RIGHTS tunakosea πππ πHakukua na umuhimu sana kuileta huku
Ukisex kiuoga uoga ndo unapata mapachaHongereni sana
Mlitumia style ipi hadi mkapata mapacha?
USISAHAU KUPIMA DNA NDO UJE UTUTAMBIENatumaini ni wazima ndugu zangu
Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu
Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako.
Hadi sasa natafakari zawadi ya kukupa nakosa.
Ulinipigia na kuniambia, Nahman unaendeleaje na kazi. Hongera tumepata mapacha wakikeπ€
Sijui niwaite majina gani..
Maisha yananiweka mbali nao kwa leo kwa hakika ningeshinda nikiwatazama nisisikie njaa
Ndugu zangu naomba tuungane kumuombea na kumpongeza baby mama.
African beaty aliefanya nkaitwa baba!
Hey queen E
Thank youβ€οΈ
coca ana tabia gani ππππKwahy mtoti si atakua na tabia coca majina haya acha tu