Kwa nini mnapenda kujidanganya hivi? Kwa nini imani inakufanya uwe mjinga ubishane na uhalisia? Siku mbili zijazo ni nyie mtakuja hapa na slogan za "pray for iran"Mkuu kijiografia Iran iko mbali sana! Uwezekano wa Israel kupenya anga yake kirahisi kama inavyofanya Gaza ni mdogo.
Pili bila washirika UK na US kutia mguu Israel pekee yake haiwezi.
kwa hiyo taifa la Mungu haliwezi kujitetea😛😛😛Jiulize kwanini USA na UK wanaopigania Israel? Kihoro kimeshaanza subirini majibu , mtakimbiana humu.
Visingizio..Kwa nini anamuomba asijibu?
Point ni kwamba Israel hawezi kupigana hata na AL shabab mpka msaada wa hao jamaa...Kiufupi uwezo hana ni over-hyped 😀 😀Jiulize kwanini USA na UK wanaopigania Israel? Kihoro kimeshaanza subirini majibu , mtakimbiana humu.
Mkuu sidhani kama utakuwa sawa maana base kubwa ya jeshi la anga la Israel imeharibiwa baada ya kupigwa na makombora zaidi ya 15.Mtoa hoja ukweli ndio muhimu,drones na ballistic kutoka Iran hakuna iliyopiga hata target moja ndani ya Israel,drones hizi zote zimepigwa nje ya anga la Israel always ukweli utamalaki ILA vita sio kitu cha kufurahia na kukipa ushabiki ,mpaka wetu na Mozambique sio salama ,binafsi nimefurahia kwa jeshi letu ku hold line ya mpaka wetu,sio kupeleka wapiganaji wetu ndani ya Mozambique,operation safisha ilitu cost sana,wameamua kupigana tuachane nao
Tuwekee ushahidi wa hii habariMkuu sidhani kama utakuwa sawa maana base kubwa ya jeshi la anga la Israel imeharibiwa baada ya kupigwa na makombora zaidi ya 15.
Tunayatupilia mbali wapi wakati bado yanasema ukweli.Hayo mawazo kwa dunia ya teknolokia kwa nini usiyatupilie mbali?
Unaongelea vita au movie?Miezi sita inatosha hadi kusimika serikali mpya
Nani kazungumzia Israel kushindwa?Kama Iran ameweza kutuma stones na misile zinafika Israel.Je Israel ndio atashindwa?
No no mkuu wewe unafuatilia hizi news kutoka source gani?,even Aljazeera ambao ni pro Iran hawaliongelei hili,all ballistic na drones zimekua destroyed far away kutoka Israel air space,but bottom line I hate war ,sipendi maana ni wanawake na watoto wanaoumizwa zaidi wakati waanzilishi wa vita wanakunywa coffee ☕️Mkuu sidhani kama utakuwa sawa maana base kubwa ya jeshi la anga la Israel imeharibiwa baada ya kupigwa na makombora zaidi ya 15.
Israel yenyewe kupitia msemaji wake amesema baadhi ya makombora yamepenya na kuipiga kambi yake na kuharibu miundo mbinu yake.No no mkuu wewe unafuatilia hizi news kutoka source gani?,even Aljazeera ambao ni pro Iran hawaliongelei hili,all ballistic na drones zimekua destroyed far away kutoka Israel air space,but bottom line I hate war ,sipendi maana ni wanawake na watoto wanaoumizwa zaidi wakati waanzilishi wa vita wanakunywa coffee ☕️
We have the right to disagree mkuuIsrael yenyewe kupitia msemaji wake amesema baadhi ya makombora yamepenya na kuipiga kambi yake na kuharibu miundo mbinu yake.
Alafu video zipo nyingi zinazo onesha makombora yakitua kwenye kituo hicho.
Tatizo ni kumjibu mtu ambae atakushinda tuAtajibiwa na Usa na British,... Israel hawezi hata kupigana na Al shabab.
Dunia haiwezi kuwa salama milele kama kila mtu akitaka kuonyesha umwamba ,Iran kalipiza sio mchokozi...Utakuja kutuwa kidole utakaaa kimya mwisho wa siku utakuwa gasho kabisa.
Marekani waliua kiongozi wa Iran jamaa wakalipiza .
Dunia ukiwa mnyonge kwisha .