WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 949
Kwa upande wa wanawake furaha yao ni kuolewa na kuzaa basi. Na endapo mwanamke atakosa hivi wanawake hupata maumivu makali na hujisikia kasoro kwenye jamii.
Ni maumivu gani aliyonayo Wema Sepetu au Lady Jay Dee kwa umri huo kukosa mtoto au watoto?
Kutokana na maumivu haya hupelekea wanawake aina kwenda kwa waganga kupata nguvu na uwezo binafsi, kwa kushindwa kuolewa mwanamke hujiona na nuksi au mkosi au kasoro. Ndio kitakwimu wanawake huongoza kwenye utafutaji limbwata ili amtukize mwanaume wake.
Upande wa kiumeni Sasa. Sisi furaha yetu ni nini?
1: Ni mwanamke?
2: Ni mali na fedha?
3: Ni mwanamke au wanawake?
4: Ni watoto na mbona sisi ndio magwiji wa kutelekeza Watoto wetu ukifananisha na wanawake?
Kama ni mwanamke, mbona sisi hata tusipo-oa tunaona shega tu? Na ni tofauti na wanawake waliozidi miaka 30 wanaopata stress za kuolewa. Sisi hatunaga wasi izidi isizidi ndio kwanza hatujali wala kwenda kwa waganga kusafisha nyota ili tuoe.
Furaha yetu sisi ni nini haswa?
Kama ni wanawake mbona tunawakatili kwa kuwafanyia vitendo vya kinyama na kikatili Sana? Unaweza ifanyia unyama furaha yako? Unaweza ikatili furaha yako?
Labda huenda ni Mali na fedha ndio maana kila kukicha tunazidamkia. Na tukishindwa tunaweka watoto zetu kafara na kudiriki ku-ua kabisa ili tuzipate. Muda mwingine tunadiriki kulala na mama zetu tupate hizo Mali na fedha. Muda mwingine kuiba, kukaba na kufanya ujambazi. Muda mwingine tuna-ua ma-albino tuzipate mali hizo.
Ni maumivu gani aliyonayo Wema Sepetu au Lady Jay Dee kwa umri huo kukosa mtoto au watoto?
Kutokana na maumivu haya hupelekea wanawake aina kwenda kwa waganga kupata nguvu na uwezo binafsi, kwa kushindwa kuolewa mwanamke hujiona na nuksi au mkosi au kasoro. Ndio kitakwimu wanawake huongoza kwenye utafutaji limbwata ili amtukize mwanaume wake.
Upande wa kiumeni Sasa. Sisi furaha yetu ni nini?
1: Ni mwanamke?
2: Ni mali na fedha?
3: Ni mwanamke au wanawake?
4: Ni watoto na mbona sisi ndio magwiji wa kutelekeza Watoto wetu ukifananisha na wanawake?
Kama ni mwanamke, mbona sisi hata tusipo-oa tunaona shega tu? Na ni tofauti na wanawake waliozidi miaka 30 wanaopata stress za kuolewa. Sisi hatunaga wasi izidi isizidi ndio kwanza hatujali wala kwenda kwa waganga kusafisha nyota ili tuoe.
Furaha yetu sisi ni nini haswa?
Kama ni wanawake mbona tunawakatili kwa kuwafanyia vitendo vya kinyama na kikatili Sana? Unaweza ifanyia unyama furaha yako? Unaweza ikatili furaha yako?
Labda huenda ni Mali na fedha ndio maana kila kukicha tunazidamkia. Na tukishindwa tunaweka watoto zetu kafara na kudiriki ku-ua kabisa ili tuzipate. Muda mwingine tunadiriki kulala na mama zetu tupate hizo Mali na fedha. Muda mwingine kuiba, kukaba na kufanya ujambazi. Muda mwingine tuna-ua ma-albino tuzipate mali hizo.