Furahi day - Be Happy

Mabwe pande hapanitishi watu tumeishi misitu ya kongo hebu waite hao waone mziki wake,mtoto yupo under my control now

Misitu ya Congo iko na sifa za kuishi sokwe tu! Ila MABWEPANDE Ina sifa ya Watu kupotea!

Km unataka kupotea sema tu!
 
Misitu ya Congo iko na sifa za kuishi sokwe tu! Ila MABWEPANDE Ina sifa ya Watu kupotea!

Km unataka kupotea sema tu!
Hahahahaha sasa hebu njoeni tuone kati wanakoishi sokwe na huko mnakosema wanapotelea watu ila angalia msije mkawa miongoni mwa watakaopotelea huko so mjipange
 
Hahahaaha mimi siko kwenye kundi lenu hilo hebu mtaje hapa bila kumung'unya maneno


Aaah Aaah Aaah! We sema tu km unabisha Kua Wewe sio Bazazi nimtaje jina hapa! Au nimuite aje hapa aone unavyomdanganya Angelicious
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha sasa hebu njoeni tuone kati wanakoishi sokwe na huko mnakosema wanapotelea watu ila angalia msije mkawa miongoni mwa watakaopotelea huko so mjipange


Ngoja nimwambie KING Excel aagize wanausalama wake wakushughulikie! Lkn Yule Fulani na Angelicious wasije kulia hapa wakikukosa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…