Furahi day - Be Happy

Furahi day - Be Happy

Love the song umempa tuzo huu wimbo na yuko nominated kwenye Oscar awards on march
 
nani ka hackiwa?
Umeshaelewa ni kwa nini unatajwa? na huyo anayehack account yako mwambie awe anakuambia kinachoendelea siyo anahak tu hala wewe unakuwa hujui chochote kinachoendelea siyo vizur
 
Lazima kwanza nikupe talaka in public ndipo umma uelewe kuwa nimekuacha rasmi!

Bado una element zangu nyingi sana! Kwanini nikuache kienyeji?

Lazima kwanza talaka tisa zitoke ndipo ntakapo ntakapomuoa kwa amani malikia wangu miss neddy!

Cc.. mwallu (punguza hasira sister! Eenh!) mfalme Ntuzu,

unofficial husband of yours, Daudi1

and all others.


Ha ha ha!! Loh!! Bado hujakubali tu kushindwa?
 
Last edited by a moderator:
nadhani kuna maslahi unapata kutoka kwa Excel..haiwezekani hadi vitu vya wazi kabisa unakwepa kuviona
maamuzi yote anayo miss neddy..mie sitaunga mkono wala kupinga tena. Excel hawezekanikiiiii


Teh Teh Teh!

Sass Jamani mawazawadi yote hayo aliotoa Shemeji tutayarudishaje? Si bora tuvumilie hivyo hivyo! Mbona Wazazi wetu wamevumiliana mpk wamezeheshana? Unajua waliyopitia? Au umesahau mama yetu alijitoa masimbe?
 
Last edited by a moderator:
siri ya familia hii
Teh Teh Teh!

Sass Jamani mawazawadi yote hayo aliotoa Shemeji tutayarudishaje? Si bora tuvumilie hivyo hivyo! Mbona Wazazi wetu wamevumiliana mpk wamezeheshana? Unajua waliyopitia? Au umesahau mama yetu alijitoa masimbe?
 
Lazima kwanza nikupe talaka in public ndipo umma uelewe kuwa nimekuacha rasmi!

Bado una element zangu nyingi sana! Kwanini nikuache kienyeji?

Lazima kwanza talaka tisa zitoke ndipo ntakapo ntakapomuoa kwa amani malikia wangu miss neddy!

Cc.. mwallu (punguza hasira sister! Eenh!) mfalme Ntuzu,

unofficial husband of yours, Daudi1

and all others.

Ha ha ha!!!! Maneno ya mkosaji hayo.....kwani talaka kitu gani?? Kwani miye ndo nitakuwa wa kwanza kupewa talaka? Tena nipe tatu kabisa nisirejee nibaki huku huku
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom