Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Anataka akaonje mabwepande Huyo!
Usimtetee! Wewe Si ulikua unajifagilia na Angelicious Huyo Hapo Excel akupeleke Mabwe!
Akuache mwambie raha unazopata huku umetulia tuliiii
Umeshaelewa ni kwa nini unatajwa? na huyo anayehack account yako mwambie awe anakuambia kinachoendelea siyo anahak tu hala wewe unakuwa hujui chochote kinachoendelea siyo vizurmkuu mimi ndio natoka mizungukoni kuangalia empire inavyoendelea, nashangaa tu nakuta mizozo huki nikitajwa..
Ataelewa tu kwa vitendoNimeshamwambia naona hanielewi
Hakuna mkate mgumu mbele ya supumwambieni Daudi1 na Angelicious kuwa they should know what's being cooked in the kitchen otherwise they may eat a forbidden food.
Na Yeye yuko na miss neddy tatizo Wewe usione suruali inapita unaanza kupendapenda!
Shida gani mbona unajiuma uma mwambie mwenzio vizuri aelewe bwana
Muulize Ntuzu naona anakutetea
Siyo kwamba najifagilia ni kwamba Angelicious ni mke wangu kuanzia sasa kwani hapo nimejifagilia?Usimtetee! Wewe Si ulikua unajifagilia na Angelicious Huyo Hapo Excel akupeleke Mabwe!
Siyo kwamba najifagilia ni kwamba Angelicious ni mke wangu kuanzia sasa kwani hapo nimejifagilia?
Hahahahaha akijibu tofauti na unavyotemea utafanyaje? Angelicious njoo ujibu aliyekuuliza eti wewe ni naniAngelicious kaulizwa swali Hapo subiri Uone majibu!
Hahahahaha akijibu tofauti na unavyotemea utafanyaje? Angelicious njoo ujibu aliyekuuliza eti wewe ni nani
Asante mke wangu nadhani ameridhika na jibu sitaki wakusumbue tenaNimeshamjibu mme wangu
Umeshaona majibu eee!Angelicious kaulizwa swali Hapo subiri Uone majibu!