Furahi day - Be Happy

Furahi day - Be Happy

Ndio mtu ndo mapenzi bado machanga tayari ushamuitroduce missneddy kuwa ndo mpenzio tena mbele yangu, sasa huko si kupenda penda?

basi basi jamani x wangu.. tafadhali msije mkapigan eeh, sawa mama? bakini marafiki wakubwa tu! umenielewa eenh?
 
dharau. sipendi dharau actually... Angelicious nilimpenda kuliko wanawake wote, hata wewe Heaven on Earth!

cha ajabu one day kantolea msonyo ambao, dah! it pained, halafu kakakimbia!! ujue nilikaangaliaaaa, nikakaacha kabisa kabisa!![/QUOT

Ndo kutaka kusema hiyo ndo sababu kuniacha na kumfuata miss neddy? We sema ulikuwa na yako usisingizie nitakusonya tena
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom