Furahia kuwa mwanaume

olewa sasa hayo hutakua nayo utakua happy na bwana ako aliyekuoa
Mbona simple😂😂
 
[emoji23][emoji23]

Kila siku zinavyosonga nazid kuwa na furaha vile navyozid tafutwa
Mara hiki mara kile


PROUD TO BE MAN Men
 
hii ilikua ni adhabu lakini kujifanya shinda maumivu, (shinda maumivu kuruta in afande voice)
Mungu alijua yuto haya kuwa wanaume katupa mzigo mzito ndio maana aka ambacho kutuumba na KIFUA(GUT) ya kuto kulalama na hata kuji proud na shida zetu, ila asingetuumba hivyo tungetoa milio kilasiku.

Kwamimi muumini wa dini, kwenye maandiko inasema mtume alikuta wanawake wengi motoni, hii inamaana Mungu kuwa hana Double Standard hizi shida alizopewa mwanaume kwa upande wa mwanamke kapewa jukumu la kuwa chini ya mwanaume nk akifeli kwenye majukumu yake kwa mumble njia ya motoni ni nene sana.

Huu ni mzigo sio furaha tuache upuuzi
 
Mimi mwanaume na siwezi kujivunia hayo mateso na shida, na ku-pretend kuwa eti ndio furaha kwa mwanaume Never.

Na ningekuwa na option ya kuziondoa ningeziondoa tu kwangu na nikabaki mwanaume vilevile.
Kuziondoa ni kuwa mwanamke tu
 
Accurated! bravo.. Kuna mwingine hapo juu nimemjibu tu sawa,coz sikuhizi ligi sifanyi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…