Furahia kuwa mwanaume

Furahia kuwa mwanaume

Hoja yako haithibishi kuwa hii ni furaha ya mwanaume bali furaha ya ku-achieve kitu ambacho ngumu kukifikia ukikifikia unafurahi.

Thing to be happy haitaji makandokando chenille kinabalu kite straight Happyness kama mfano kufanya mapenzi, kula chakula kitamu, kuangalia football kwa wapenzi wa football nk

Ila furaha sio majukumu ya kuhuduamia watu kwenye uchumi ambao haupo sure kabisa at any time T unakuwa jobless, watu wanagongewa hawawezi hudumia, wanachelewa kuoa hawana maisha, huna hela huna maana kwa mke....HOW COME YOU CALL IT HAPPYNESS.

Ukweli haya ni majukumu na tuponayo by nature isiwe sababu ya ku pretend kindezi.
olewa sasa hayo hutakua nayo utakua happy na bwana ako aliyekuoa
Mbona simple😂😂
 
[emoji23][emoji23]

Kila siku zinavyosonga nazid kuwa na furaha vile navyozid tafutwa
Mara hiki mara kile


PROUD TO BE MAN Men
 
hii ilikua ni adhabu lakini kujifanya shinda maumivu, (shinda maumivu kuruta in afande voice)
Mungu alijua yuto haya kuwa wanaume katupa mzigo mzito ndio maana aka ambacho kutuumba na KIFUA(GUT) ya kuto kulalama na hata kuji proud na shida zetu, ila asingetuumba hivyo tungetoa milio kilasiku.

Kwamimi muumini wa dini, kwenye maandiko inasema mtume alikuta wanawake wengi motoni, hii inamaana Mungu kuwa hana Double Standard hizi shida alizopewa mwanaume kwa upande wa mwanamke kapewa jukumu la kuwa chini ya mwanaume nk akifeli kwenye majukumu yake kwa mumble njia ya motoni ni nene sana.

Huu ni mzigo sio furaha tuache upuuzi
 
Mungu alijua yuto haya kuwa wanaume katupa mzigo mzito ndio maana aka ambacho kutuumba na KIFUA(GUT) ya kuto kulalama na hata kuji proud na shida zetu, ila asingetuumba hivyo tungetoa milio kilasiku.

Kwamimi muumini wa dini, kwenye maandiko inasema mtume alikuta wanawake wengi motoni, hii inamaana Mungu kuwa hana Double Standard hizi shida alizopewa mwanaume kwa upande wa mwanamke kapewa jukumu la kuwa chini ya mwanaume nk akifeli kwenye majukumu yake kwa mumble njia ya motoni ni nene sana.

Huu ni mzigo sio furaha tuache upuuzi
Accurated! bravo.. Kuna mwingine hapo juu nimemjibu tu sawa,coz sikuhizi ligi sifanyi kabisa
 
emoji23.png
emoji23.png

Em sema kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saa hiyo nimemshika kiuno au ass! Acha aisee hatari halaf ukute mtoto ananukia vizuri.
 
Back
Top Bottom