Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Ujue mimi hua wala sijui haya mambo ya pm,hata sijui kama imefungwa au iko wazi,sijawahi kujua hilo aisee.pm yakko imefungwa mkuu
Born may hongereni 😊Tumezaliwa siku moja
Hongera🤸
asanteNmejikuta nawaza kwa sauti vile nazima mishumaa iliyopo juu ya keki (fuuuh fuuuh).. Furahia siku yako ya kuzaliwa ewe Furahia.
thanks mkuuu ubarikiwe hadi ushangaeDah! Ujue mimi hua wala sijui haya mambo ya pm,hata sijui kama imefungwa au iko wazi,sijawahi kujua hilo aisee.
Anyway have a Good day dear.
Ukubali nikuoe sasa, muda unayoyoma.Habari wadau wangu,
Namshukuru Mungu kuiona siku ya leo wengine hawapo duniani ila ni mapenzi ya Mungu kuniweka hadi leo kufurahia siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu kwangu naona ni neema ya ajabu mno kuona siku hii
Namshukuru Mungu kunipa afya njema na kunipa tumaini jipya basi enjoini pamoja nami na kufurahia pamoja nami ila namshangaa sana besti wa mm Chachu Ombara sijui yuko BUSY sana au kajisahau niini hahhaaaaa itakuwa ni uzee umesogeza
Furahiini pamoja nami kwa siku nzuri na njema kama hii Chachu Ombara nasubiria keki yangu hahaaaaaa, hata kwa mawazo basi tuma hahaaaaaaaaaa habaaaaaaaa its jokes.
Nawafurahia wadau wangu wa hapa.
Wasalam,
Ladyf.
😳😳😳😳 ohoo hayaUmeniamini? Nimetania tu😂🤸
Leo nimeamini wewe na Ivan Stepanov ni tofauti😳😳😳😳 ohoo haya
Miaka mingi kwako rafiki!!!! Umeifanya kimya kimya sanaTumezaliwa siku moja
Hongera🤸
Miaka mingi kwako rafiki!!!! Umeifanya kimya kimya sana
Punguza kula utumbo basChai🤸