Furahia upishi wako na gesi janja (M-GAS) yenye mita janja wala huhitaji kununua mtungi wa gesi tena

Huduma ya kijinga sana hii. Kuna wenzenu wanajiita kopa gas ndio ovyo kabisa. Yaani gas ya 5k unaweza hata usimalize kuandaa chajio. Wife analalamika sana. Yaani unahesabu moja,mbili,tatu..... Ndio pesa inavyoenda hivyo. Gas ya buku, hesabu mpaka buku, gas imeisha. Mtakuja kunikumbuka. Nyie ingieni mkenge tu
 
Najuta kujiunga na nyinyi.Nilikuwa nikijaza jiko la gesi ndogo kwa sh 23000 natumia mwezi mzima lkn humu m-gas imekula 50000 kwa mwezi kwa matumizi yaleyale! Nimejirudia home!
Unatumia jiko lako mwenyewe au ni la M-Gas boss?
 
Boss, gharama ya jiko ulishamaliza au bado?
 
Nadhani hapo kuna gharama ya jiko ndio maana gesi inaisha haraka.
Samahani ila hutojali ungesema kama bado unadaiwa, gesi ya 1000 itaisha kwa sec kadhaa na kama hudaiwi gesi ya 1000 itaisha kwa sec ngapi. Tuzungumzie kwenye jiko lenu likiwa limefunguliwa ges hadi mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…