Furahia upishi wako na gesi janja (M-GAS) yenye mita janja wala huhitaji kununua mtungi wa gesi tena

uongo ujanja ujanja kinachofanyika hapo mtajuta kidogo kidogo unakuta mtungi mdogo unalipia 50k mpaka 60k hao bora hata Taifa mihan orxg nk. wananunua gesi wanakuja kukuuzieni kwa rejareja
 
Ata kama ndo gas ya buku kweliii seriously…
 
Bora tukomae tu kwenye mihani,oryx n.k ambazo zinapatikana kwa wingi.yaani gesi iishe nisubili uniletee ?.Na ikitokea wewe unawateja wengi au dharura yeyote mimi siku hiyo nitafanyaje?
Unalala njaa
 
M-Gas tuna mfumo wa kulipia gesi ya kupikia kadri unavyotumia (Pay as you go technology).

Huhitaji kuhangaika kulipia mtungi mzima wa gesi wakati unaweza kununua hata gesi ya elfu moja (1000 Tsh).

Tizama mtungi wetu smart: Kwa maelezo zaidi piga: 0747744895



Karibu M-Gas tunafanya mapinduzi kwenye teknolojia ya gesi ya kupikia.

Cook smart:

Kwa mawasiliano zaidi:
# 0747744895

Kuelewa zaidi soma hapa:
Soma hapa,
 
Bora tukomae tu kwenye mihani,oryx n.k ambazo zinapatikana kwa wingi.yaani gesi iishe nisubili uniletee ?.Na ikitokea wewe unawateja wengi au dharura yeyote mimi siku hiyo nitafanyaje?
... mwanzoni nilidhani gesi ikiisha unalipia na kupata huduma kama ilivyo LUKU; kumbe hadi usubiri uletewe! Hilo ni tatizo na customer service za kibongo zilivyo za kindezi unapigia jitu ambalo ni wajibu wake litoe huduma halipokea simu au haipatikani kabisa.

Kwa bongo hii huduma za aina hii bado sana. Kwanini nikiishiwa gesi nisivuke tu mtaa wa pili nikabadili mtungi au nikamtuma boda chap! This is more reliable kuliko huo uzungu tunaojaribu kuuiga wakati tabia na desturi zetu bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…