Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

Mkuu nikujitoa tu ila kiukweli kuku wanakula sana.
mkuu nimeogopa gafla,maana mwenyewe nimenunua seheemu vifarnga 35 bado sijavichua nasubiri vifikishe walaumwezi mmoja.ni wale kuku chotala
 
Ufugaji wa samaki
Biashara ya mortuary
Forex trading na cryptocurrency (hizi zinahitaji elimu usikurupuke)
 
Kila sIku nafikiria kuanzisha biashara ya kukaanga mihogo maeneo ya Posta. Mihogo yenyewe inaweza kuwa sio fursa sana ila fursa itakuwa kwenye matangazo ya hiyo muhogo.Nitatangaza kuwa mihogo hii inaongeza nguvu za kiume. Hapo ndipo fursa ilipo..
Mihogo posta lazima utapiga pesa , kuna jamaa wameanzisha kuuza mihogo within this week pale mtaa wa sokoine\ luthuli posta , watoto wa IFM wanaifakamia kama maji.
 
Yaani mkuu kila ninapofikiria kuhusu hiyo Project naiona kama ngumu sana
nimewahi kuwaza kujaribu lakini naiona kama inahitaji utaalamu mkubwa
lakini nitaifuatilia.
Hii biashara ya ufugaji wa samaki kama upo mbali na mtaalam usijaribu itakukata
 
Kila sIku nafikiria kuanzisha biashara ya kukaanga mihogo maeneo ya Posta. Mihogo yenyewe inaweza kuwa sio fursa sana ila fursa itakuwa kwenye matangazo ya hiyo muhogo.Nitatangaza kuwa mihogo hii inaongeza nguvu za kiume. Hapo ndipo fursa ilipo..
Hilo ni deal zuri kwa sababu humu maofisini hela ya kwenda kula lunch imeanza kutushinda tangu huyu jamaa kaingia madarakani kazuia deal zetu za kuipiga serikali hajaboresha maslahi ya watumishi yaani taabu tupu
 
Mkuu mimi nafunguka mengi humu JF tena uzi wangu mwingine ulikuwa Juzi tu
hapa, mpaka INBOX yangu ikaanza kufurika sasa hapa nawapa nafasi na wadau
wengine wafunguke.
Tupe link ya uzi wako mzee
 
Kufanya kazi mortuary inalipa sana maiti nyingi za ajari huwa zina pesa mfukoni unajiokotea tu pia unapata nafasi ya kupapasa wale mademu waliokua wanajifanya high class mjini!
 


Hiii n kiboko
Tupe kiundani hiii business
 
Jamani kuna kuku nimeona hapa south Africa ni wakubwa sio kawaida. Paja kama la mtoto mchanga !!! Sijui kwa nini hii mbegu haijaletwa bongo?




Fanya utaratibu ifike kwa Tz
Inawezekana ukiamua
 
Jamani kuna kuku nimeona hapa south Africa ni wakubwa sio kawaida. Paja kama la mtoto mchanga !!! Sijui kwa nini hii mbegu haijaletwa bongo?





Chukua hata Mayai Yao uje nayo bongo ufuge
Hzo ndo Fursa zenyewe
 
Nunua mazao wkati wa mavuno. Weka stock, uza wakati wa njaa
Nunua mifigo, wakati wa njaa, watunze na kisha njoo uza wakati washavuna



Hiiii inaitaji mtaji mkubwa kiasi cha 5m+
 
NTAREJEA BAADA KUANDAA KILE KILICHONIFANYA NIKIMBIE UWALIM WA SECONDARY NA CHET KIPO KABATINI
SIO KINGINE BALI NI
SAMSTUDIO MOROGORO
 

Attachments

  • yemi-alade.jpg
    184.2 KB · Views: 137
  • 03-2018.PNG
    13.3 KB · Views: 139
  • 04-2018.PNG
    13.2 KB · Views: 112
  • 05-2018.PNG
    14.8 KB · Views: 91
  • 06-2018.PNG
    14.4 KB · Views: 119
  • IMG_20180402_145329.jpg
    261.2 KB · Views: 116
  • FULL SEASON AVAILABLE TILL 2017.docx
    FULL SEASON AVAILABLE TILL 2017.docx
    89.7 KB · Views: 83
Mnaifahamu INTERNET???
Basi INTERNET ina fursa nyingi sana basi tu watu tunaitumia kuingia JF, instagram na WhatsApp.
Fursa mojawapo ni kuwekeza katika Cryptos. Watu wanaziita scam business, basi tu ni vile hawana right information at the right time.
Mkuu hii ipoje? Na vp wewe unafanya hii kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…