Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

Kuuza kahawa,Chai na Uji wa mchele.

Vitu simple ila ukitulia ukavitoa local vikawa classic asee utapoga pesa. Ila utatakiwa kupambana sana na alau uwe na mtaji wa uhakika around 5Milion hivi. Just for Chai, kahawa or uji wa mchele. (Mtaji mkubwa ee!?)
 
Mnaifahamu INTERNET???
Basi INTERNET ina fursa nyingi sana basi tu watu tunaitumia kuingia JF, instagram na WhatsApp.
Fursa mojawapo ni kuwekeza katika Cryptos. Watu wanaziita scam business, basi tu ni vile hawana right information at the right time.
Funguka vizuri mkuu tuelewww kwelii internet ni fursa ila wengu hatujui kutumia kuingiza pesa
 
Tatizo ujuzi napenda sanaa issue izii
 
Mtaji wake unagharimu fedha kiasi ganii mkuuu?

Ni vizuri zaidi ukadadavua vizuri utaratibu mzima naimani tutafaidika
 
Mwamba mtaji wake vipii
 
Bro upo?
Kitambo sana.
 
Kuku lazma walambe million 5 kwa kuanza tu na hapo uwe na mabanda tayari kama huna piga hesabu za Toyota IST ndio biashara itakuwa imesimama vizuri, jambo zuri kuhusu biashara ya kuku ina asili ya inelastic demand! Mabadiliko ya bei hayaathiri kiwango cha manunuzi!
 
mkuu unaifanyaje hii ya video games!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…