Fursa Kwa Madada WA Kitanzania ambao hawajaolewa.

Kanye2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
2,904
Reaction score
3,006
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.

Kwenye pita pita zangu huko mtandaoni nikakutana na Habari ya kijana Mmoja WA ki Jerumani anataka msichana WA Kitanzania Kwa lengo la ndoa.

Nimeweka screenshot hapo chini inajieleza kabisa.

Mkitaka maelezo zaidi mnaweza kwenda kwenye account yake ipo kwenye mtandao wa Reddit na anatumia Jina la Old-Acanthaceae9813

 
mtumie hii

 
Hii nikimtumia lazima nimtafsirie. Kipengele hapo
 
Mmm huyu anataka kuchimba migodi tu Kwa maoni yangu nahisi kama umri wake ni mdogo, he is looking for sexual healing and explore woman, angalizo Kwa wasichana Hawa wageni wanafanya utalii wa kingono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…