Hii nikimtumia lazima nimtafsirie. Kipengele hapomtumie hii
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Mmm huyu anataka kuchimba migodi tu Kwa maoni yangu nahisi kama umri wake ni mdogo, he is looking for sexual healing and explore woman, angalizo Kwa wasichana Hawa wageni wanafanya utalii wa kingonoKama kichwa cha Habari kinavyojieleza.
Kwenye pita pita zangu huko mtandaoni nikakutana na Habari ya kijana Mmoja WA ki Jerumani anataka msichana WA Kitanzania Kwa lengo la ndoa.
Nimeweka screenshot hapo chini inajieleza kabisa.
Mkitaka maelezo zaidi mnaweza kwenda kwenye account yake ipo kwenye mtandao wa Reddit na anatumia Jina la Old-Acanthaceae9813
View attachment 3050739
Uwe tu makini,Ndoto yangu inaenda kua kweli
December sitaki inikutie Bongo
Acha nipakue hio app nimfate mchuchu
Sitaki ushauri!!! Muhimu nifike UjerumaniUwe tu makini,
Unaweza kwenda fanyishwa mikazi huko au ukawekwa kwenye danguro, au ukauawa...
Huwezi jua ni mtu wa aina gani huyo
Hawataki Mabonge. Wewe ni wangu tu.Ndoto yangu inaenda kua kweli
December sitaki inikutie Bongo
Acha nipakue hio app nimfate mchuchu
kuna wale wadada wapenda vya bure walikuwa wanalipwa na waarabu wa dubai waende kule wakanyewe mdomoniSitaki ushauri!!! Muhimu nifike Ujerumani
Sawa.Akuuh! Nishapata mchumba wa ujerumani wewe baki na uzee wako
Eti wasichana waingie kichwa kichwa Kwa mtoto mdogo kisa katangaza ndoa, ili afanye utalii wa .....................Rubbish,
Utapeli wa kizamani sana huu.
Kula fursa hiyoAfu wewe