Fursa Kwa Madada WA Kitanzania ambao hawajaolewa.

Fursa Kwa Madada WA Kitanzania ambao hawajaolewa.

Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.

Kwenye pita pita zangu huko mtandaoni nikakutana na Habari ya kijana Mmoja WA ki Jerumani anataka msichana WA Kitanzania Kwa lengo la ndoa.

Nimeweka screenshot hapo chini inajieleza kabisa.

Mkitaka maelezo zaidi mnaweza kwenda kwenye account yake ipo kwenye mtandao wa Reddit na anatumia Jina la Old-Acanthaceae9813

View attachment 3050739
Miaka 22 si mtoto kabisa huyo.
Au ndio umri ni namba.
 
sasa hivi uchaguzi unakaribia ngoja tu zoom tuone jinsi mtu anaenda kutolewa kafara
IMG_20231214_160959.jpg
 
Back
Top Bottom