Wanawavua wengi sana kwa hio mtego. Na serikali yetu vile huwa haifuatilii raia wake walipo na wanafanya nini?Uwe tu makini,
Unaweza kwenda fanyishwa mikazi huko au ukawekwa kwenye danguro, au ukauawa...
Huwezi jua ni mtu wa aina gani huyo
SafiNdoto yangu inaenda kua kweli
December sitaki inikutie Bongo
Acha nipakue hio app nimfate mchuchu
Miaka 22 si mtoto kabisa huyo.Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza.
Kwenye pita pita zangu huko mtandaoni nikakutana na Habari ya kijana Mmoja WA ki Jerumani anataka msichana WA Kitanzania Kwa lengo la ndoa.
Nimeweka screenshot hapo chini inajieleza kabisa.
Mkitaka maelezo zaidi mnaweza kwenda kwenye account yake ipo kwenye mtandao wa Reddit na anatumia Jina la Old-Acanthaceae9813
View attachment 3050739
ushawah ona tangazo natafta fursa?Kula fursa hiyo
Kwani lazima nione au ni kosa kukushirikisha?ushawah ona tangazo natafta fursa?
umeona nna uhitaji ndoman umeshirikishaKwani lazima nione au ni kosa kukushirikisha?
Nmeona wapi?umeona nna uhitaji ndoman umeshirikisha
unajua weyeNmeona wapi?
Ushalewa wewe sio bureunajua weye
Mxiuuu,,nmelewa mirinda nyeusiUshalewa wewe sio bure
Baada ya zile video za wale wadada wanajitia na chupa za mirinda ,bado tu unazinywaMxiuuu,,nmelewa mirinda nyeusi
Kama wachumba zetu wanalala na wengne wenye gono wanatibiwa na tunaendelea kubinjuana sembuse mirinda!!!?Baada ya zile video za wale wadada wanajitia na chupa za mirinda ,bado tu unazinywa
InterestingKama wachumba zetu wanalala na wengne wenye gono wanatibiwa na tunaendelea kubinjuana sembuse mirinda!!!?
NtakufuaMxiuuu,,nmelewa mirinda nyeusi
ebu kwenda ukoNtakufua
Jichanganye nkufue bila hata sabuniebu kwenda uko