Fursa kwa Watanzania wanaolima Mboga wanaotaka kuzisafirisha Ulaya, Pitieni hapa

Fursa kwa Watanzania wanaolima Mboga wanaotaka kuzisafirisha Ulaya, Pitieni hapa

Unaona sasa udumavu wa ubongo wako unapoonekana, maana unafafanua vizuri kabisa lakini kwenye hitimisho unaishia kuharibu...

Hivi hadi sasa akili yako haijakupa mwangaza kuwa ughaibuni ndipo ilipo fursa na hata katika maandishi hayo mekundu umekiri...

Tatizo lako FF huwa wajiona wajua kila kitu kwa kuwa u mjinga...

Mjinga ni mtu yule asiyetaka kujifunza kutoka kwa wengine...



Wewe unayedhani unajua kuliko wote mbona waulizwa utoe jibu la waja na lugha za kejeli?



Kikwete katokea wapi tena huku?

Na kwa taarifa yako tu huyo rais wako hakuwashangaa Watanzania bali alishangaa umasikini wa nchi ya Tanzania ambayo yeye ndio kiongozi...(FYI: Hebu rejelea vyema mahojiano yake na idhaa ya Kiswahili ya BBC)



Alisita kubainisha kuwa yeye ni mjinga...



Hili swali lakufaa wewe unayeshindwa kutambua maarifa madogo ya kuonanisha neno fursa na soko la nje...

Naona wewe upo hapa kuharibu mjadala wa watu.

Unabwabwaja na kuhororoja bila mpango. Umeuliza nimekujibu, sepa! Kitu hujuwi unapewa majibu halafu unajidai unajuwa.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
 
Mkuu embu funguka kuhusu hayo maeneo ya kulima mbogamboga, Achana na hao wanaopiga siasa. Tupe huo mwongozo

Kuna sehemu mbele ya mkuranga panaitwa mwarusembe Kuna maeneo yanafaa sana kwa kilimo cha mboga, mimi huko nShalima sana tiki ti na matango.
Ila Kuna wakina mama wana vikundi wanalima mboga za majani na pili pili hoho etc
Maeneo yako ya kumwagaa tu
 
Nitampigia simu huyo Bwana mnufaika ili anipe hints za nini cha kufanya.
Wakuu Watu8 na FaizaFoxy msituharibie uzi jamani pengine nyie sahz mnaandika mkiwa kivulini wakati wenzenu tupo juani tunataabika na kilimo na tuvizalishavyo havina soko.

Nnaeharibu mjadala mimi au huyo punguani ajiitae Watu8. Kauliza, nimemfahamisha asome post #1 vizuri kuna namba ya simu, yeye bado tu.
 
Last edited by a moderator:
Huyo ff hajui ku hustle! Chief kama unalima mmbga mboga nafasi ndiyo hiyo.

Mkuu nalima sana tu hadi vingine vinaozeana shamba kwajili ya ukakasi wa soko.
Humu JF wengi wao wanajifanya wametusua maisha so kazi yao kuu ni kutibua hali ya hewa.
Eneo lipo kubwa sana kama hii fursa itakaa vizuri itakuwa neema kwangu.
 
Kuna sehemu mbele ya mkuranga panaitwa mwarusembe Kuna maeneo yanafaa sana kwa kilimo cha mboga, mimi huko nShalima sana tiki ti na matango.
Ila Kuna wakina mama wana vikundi wanalima mboga za majani na pili pili hoho etc
Maeneo yako ya kumwagaa tu

Kuna chanzo cha maji cha kudumu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji?
 
Twende taratibu ndugu mbona waharakisha hivyo...
Money Stunna katoa mwangaza tu wa nini watu wafanye kutafuta soko la mbogamboga kupitia huyo bwana aliyekwisha fanikiwa tayari...

Lakini wewe ukaenda mbali zaidi ukisifia kuwa hayo aliyoeleza Stunna ni faida ya fursa zilizopo Tanzania...

Sasa nakuuliza tena soko la hizo mboga mboga lipo Tanzania?

Kama halipo Tanzania hiyo fursa unayohubiri ni ipi sasa?

Au hujui uhusiano wa fursa na soko usaidiwe?

Kama unaona Tanzania hakuna fursa, nenda huko nje ukalime, unangoja nini? waachie wenzako wanayoiona fursa ya kulima hapa na kupeleka nje wakauze wafanye hivyo, si unamuona huyo kijana afanyavyo, hao ndiyo vijana wanaoziona fursa, si nyinyi mmekalia kulalama tu.
 
Hebu wewe jaribu kufanya angalau akili yko itakuwa imepumzika na Kutwa kufikiria siasa...Mimi ntakupa mwongozo wa wapi utapata mashamba ufanye kilimo cha mbogamboga

Naona hunijuwi, mimi nnalima leo mwaka wa 15 na mazao yote nnayauza shambani, sijakosa soko.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
naomba mnifahamish ndugu zangu jinsi ya mboga mboga zinazo stahimili ukame
 
Ewe punguani, hizo mboga Tanzania utaziuza kwa pesa za madafu, ukiziweka katika viwango kama anavyofanya huyo kijana hapo post #1 utaziuza nje kwa pesa za kigeni na faida ya juu zaidi.

Kila kitu mpaka upikiwe, upakuliwe, umezeshwe? hautumii akili zako hata kiduchu? zitadoda, kama bado.

Halafu mnamsema Kikwete alipowashangaa kuwa hajui Watanzania kwanini ni masikini! Alisita kusema tu, ni wajinga.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?

kikwete aliulizwa kwanini Tanzania ni maskini na sio kwanini watanzania ni maskini!! Hayo maswali yana mantiki tofauti, usitudanganye!!
Nchi inaweza ikawa na matajiri wengi tu lakini pato la taifa likawa dogo kwenye kiwango cha umaskini, kama hujui sema ufafanuliwe kiuchumi!
 
Nimeachana na wewe kwa heshima ya wadau wengine tu...

Zaidi nimeachana na wewe kwa kuwa sitaki kuonekana chizi kwa kumfukuza taahira mmoja aliyekwapua nguo zangu wakati nikikoga zangu mtoni...

Nnaeharibu mjadala mimi au huyo punguani ajiitae Watu8. Kauliza, nimemfahamisha asome post #1 vizuri kuna namba ya simu, yeye bado tu.
 
Last edited by a moderator:
kikwete aliulizwa kwanini Tanzania ni maskini na sio kwanini watanzania ni maskini!! Hayo maswali yana mantiki tofauti, usitudanganye!!
Nchi inaweza ikawa na matajiri wengi tu lakini pato la taifa likawa dogo kwenye kiwango cha umaskini, kama hujui sema ufafanuliwe kiuchumi!

Wewe Tanzania bila Watanzania kutakuwa na umasikini na utajiri hapo?

Hivi shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mkuu embu funguka kuhusu hayo maeneo ya kulima mbogamboga, Achana na hao wanaopiga siasa. Tupe huo mwongozo

Mkuu kilimo cha mboga mboga ni aina ya kilimo unayoweza kuiendesha muda wote wa mwaka maadamu tu uwe na maji ya kutosha ya uhakika....

Kwa uzoefu wangu eneo la Mbuyuni Iringa ni maarufu kwa kilimo cha mboga na hata jamaa zangu kadhaa wameshafanya na wanafanya shughuli hizi za kilimo cha mboga...

Arumeru na Lushoto ni maeneo mengine ambayo kilimo hiki hukubali sana tu...

Wengine watajazia maarifa zaidi...
 
hii ni moja ya nafasi nzuri kwa sisi vijana kuitumia
 
Naona hunijuwi, mimi nnalima leo mwaka wa 15 na mazao yote nnayauza shambani, sijakosa soko.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Umelima wapi na unalima mazao gani? Hebu nieleze kidogo
 
Naona hunijuwi, mimi nnalima leo mwaka wa 15 na mazao yote nnayauza shambani, sijakosa soko.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Ulime wapi wewe hata kupigwa jua hujui maumivu yake
Wee kaa hapo kwa kiyoyozi subiria upewe hela za chama chako
 



Kwa wale wote mnaolima mboga mnaotaka msaada namna ya kusafirisha ulaya muwasiliane na huyu kijana Machel Tarimo, Mkurugenzi na mmoja kati ya watatu waanzilishi wa HomeVeg Tanzania Ltd, aliyekuwa katika studio ya ITV mwishoni mwa mwaka jana kwenye kipindi cha Vijana na Kilimo Biashara akielezea alivyofanikiwa kwenye kusafirisha mbogamboga kwenye masoko ya Ulaya.

Kwa mawasiliano zaidi na Machel piga namba 0786683212.





Natumaini wale wadau wa umu JF watatumia fursa hii vizuri..

Tunashukuru sana mkuu
 
Back
Top Bottom