mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kuna chanzo cha maji cha kudumu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji?
U kichimba urefu wa futi 4 kwenda chini unapata maji mengi, mimi nilikuwa na chemba visima urefu huo kuzunguka shamba kwa ajili ya umwagiliaji