Fursa: Mdau kamata hii na uwekeze Arusha

Fursa: Mdau kamata hii na uwekeze Arusha

The great jay
Mkuu kinachoongelewa hapa ni kuhusu town trip as mada inavyosema, ukiwa moshi hiece zipo lakini hazina soko kwa mjini unakuta Bajaj zimesajiliwa 900 njia moja na kwa siku wanapeleka hesabu 20,000/-

Kikubwa ni usafiri maeneo tajwa kukata ikifika mida hiyo au kuhama route, so tvs au piagio zikiwepo nyingi haijalishi nauli au umbali.
kwa hio concept ndio nilielewa tokea mwanzo ndio maana nkakutajia baathi ya ruti ambazo mtu akipiga zina hela bajaji ni 20k au 25k kwa mpya na malengo ni 30k kama ni hivi nimekuelewa mkuu na pia hata hizo sehemu nlizokujatia ambazo daladala zipo mpaka saa 4 au saa sita au saba morombo unakuta sio nyingi ivo watu wanasubiri mno mpaka ijae ila bajaji watatu wanne inaamsha na ukizingatia usiku anaweza okoteza watu popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The great jay
Mkuu kinachoongelewa hapa ni kuhusu town trip as mada inavyosema, ukiwa moshi hiece zipo lakini hazina soko kwa mjini unakuta Bajaj zimesajiliwa 900 njia moja na kwa siku wanapeleka hesabu 20,000/-

Kikubwa ni usafiri maeneo tajwa kukata ikifika mida hiyo au kuhama route, so tvs au piagio zikiwepo nyingi haijalishi nauli au umbali.
RE haiwezi piga kazi mbona unataja tvs na mapiaggio?
 
Arusha ina tatizo la usafiri hasa baada ya saa mbili usiku ila haina consistency si kila siku inakua hivyo, kuna baadhi ya siku daladala zinakua tupu kabisa. Na hata hizo siku zenye kua na watu wengi unaweza kuta shazi ipo upande mmoja tu, kurudi gari inakua tupu.
 
Mkuu tatizo siyo mabasi makubwa au fujo za jiji..!

Hapa nazungumzia tabia za watoa huduma WAZAWA ambao ikifika saa 20:00hrs wanarudi kwenye maboma kulala, so akija wakuja atakuwa kaenda kutafuta pesa apeleke kwao.

Mfano zikija hizo coaster ambazo tayari zimeanza bado watoa huduma ni wale wale tu.
Nyie hamjui tu jinsi gani uzi wa "umeshawahi kula tunda kimasihara" ulivyo waharibu wanaume imani kwa wake zao,
Imekuwa shida na kushukushuku kiasi kwamba mtu anaona ikifika saa mbili bora awe nyumbani kuepuka kusaidiwa kazi na vijana wadowezi wa wake za watu.

Na ikumbukwe kuwa ni bora kusalitiwa, kuliko kugongewa kimya kimya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
GIRITA
RE haiwezi piga kazi mbona unataja tvs na mapiaggio?
Fursa: Usafiri kwenye jiji hilo unakuwa kero sababu ikifika saa 20:00 hours unaanza kuadimika hasa njia ya kuelekea Usa, Ngaramtoni, Njiro nk. Kwa mwenye kutafuta fursa mwaga Bajaji, TVS au Piagio kwa njia Tengeru au Ngaramtoni nk.
 
Mkoa wa Arusha ni moja kati ya mikoa yenye mzunguko mkubwa wa pesa ila una tatizo moja.

Arusha ikiwa ni jiji lina tatizo la kuwa na asilimia kubwa ya vipanya (hiece) ambazo madereva wake nusu wazawa na nusu nyingine ni wale wa kuja wasambaa.

Fursa: Usafiri kwenye jiji hilo unakuwa kero sababu ikifika saa 20:00 hours unaanza kuadimika hasa njia ya kuelekea Usa, Ngaramtoni, Njiro nk. Kwa mwenye kutafuta fursa mwaga Bajaji, TVS au Piagio kwa njia Tengeru au Ngaramtoni nk.

Mfano ni Moshi au Mbeya ambapo hiece zimekuwa hazina abiria kwa town trip labda long trip kwenda nje ya mji kama Usa, Kisongo nk.

Mzawa akipata pesa ya bosi na yake anaenda kula vitu (bia) nyama choma (nyumba ya bure boma) analala kusubiri kesho.
Endeleeni kujinyima ndio maana mnakufa mapema sisi hatuwezi acha nyama
 
Arusha ina tatizo la usafiri hasa baada ya saa mbili usiku ila haina consistency si kila siku inakua hivyo, kuna baadhi ya siku daladala zinakua tupu kabisa. Na hata hizo siku zenye kua na watu wengi unaweza kuta shazi ipo upande mmoja tu, kurudi gari inakua tupu.
Hii tatizo lipo Tanzania nzima ukiondoa Dar es salaam
 
.... unaweza kuta shazi ipo upande mmoja tu, kurudi gari inakua tupu.
Ndiyo maana nikasema 'fulsa' mwaga bajaj ili muda huo zifanye kazi ikiwa na maana ukifika uendako unaweza kupitia huko huko, juu kwa juu kwa kupakia abilia wengine.

Route za usiku (night shift) huwa siyo lazima kurudi na njia uliyokuja nayo, ni una_rotate kufuata abilia.
 
Back
Top Bottom