Fursa: Mifuko ya nailoni imepigwa marufuku ni Wakati wetu sasa kutafuta kitu mbadala

Fursa: Mifuko ya nailoni imepigwa marufuku ni Wakati wetu sasa kutafuta kitu mbadala

Hii REUSABLE BAGS hata Mimi naona ndio mbadala chamsingi itolewe elimu kwa wanajamii materials zinazotumika tuongeze viwanda hii kwa wajasiliamali ni sahihi na salama sana
Kweli kabisa halafu mbona zipo njia nyingi hata kama viwanda vya kutengeneza magunia watatengeneza mifuko midogo pia
Au hizo za plaatic reusable ambazo unazisafisha kwa huko kwetu itabidi
Naona ni fursa nzuri kwa sasa ila badala ya kuagiza mpaka mifuko China inabidi itengenezwe kwa wingi nyumbani

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kaka nessonlegend umeona na hii comment ya mdau hapa??
Sasa sijui una maoni gani.
Mie bado naona mifuko ya "Marlboro" inasaidia sana, japo inachangia uchafuzi wa mazingira.
Hebu fikiria umetoka kazini unaamua upite sokoni kununua nahitaji ya family, huna kikapu. Utafanyeje??
Bado sijaona "suitable" replacement ya mifuko hii.
Huko zanzibar hata wanaume wanatembea na vikapu kwenye vespa au baiskeli zao ingawa kwa huku bara sidhani kama tutaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1070274



1070276

Kikapu

1070278

Bags za cotton

1070279

Bags za karatasi
 

Attachments

  • 1-k-kIZ2lAf5fE4AFm4D74Bw.jpeg
    1-k-kIZ2lAf5fE4AFm4D74Bw.jpeg
    6.6 KB · Views: 24
Kama wajasiliamri, inabidi waangalie hii fursa kwenye mifuko midogomidogo ya kupimia sukari, unga, chipsi nk | humu naiona pesa mjadara uwishe leteni machine na bei zake tufanye tathmini hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wajasiliamri, inabidi waangalie hii fursa kwenye mifuko midogomidogo ya kupimia sukari, unga, chipsi nk | humu naiona pesa mjadara uwishe leteni machine na bei zake tufanye tathmini hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimeanza KUFUNDISHA vijana kutengeneza vifuko vidogo vya sukari,maandazi,majani pia vya dizain fulani vya kubebea vitu vye unyevu Kama mabogambogan.k kwa mikono kabla ya kupata mashine, karibuni
 
Hii kazi kuna watu wanafanya kikubwa uplan namna ya usambazaji uwafikie haya maduka ya mitaani kuna sehemu Mimi nanunua hizi bahasha ndogo nachukua kwa 5000 PC 50. Kubwa 10000.
 
Vikapu vikiwa modified kwa kufanya zile nyuzi kua laini itafaa pia mkunge ni product nzuri ya kuanzia
 
je. Hizi karatasi zenu ni kwa ajili ya kufungia chipsi kavu na mishkaki tu ama hata kichani kimoja cha ndizi bukoba, maembe na nyanya zinabeba.
ama nyie mnaangalia kufungia chipsi tu!!
Tembelea machinga complex. Kuna mifuko ya kaki ya kila aina na size tofauti.IPO mpaka yenye mshikio.ila pei take IPO juu kuliko ya plastics
 
Sasa tutatumia magazeti. Magazeti nao wapate faida. Ila bora karatasi zinaoza. Mifuko ni janga kwa kweli mwezi uliopita wamemkuta Nyangumi kafa huko Ufilipino tumboni alikuwa kajaa mifuko ya plastic tupu.
 
Miaka ya zamani kabla ya mifuko ya plastic kua maarufu,hii mifuko ya karatasi ilikua inatengenezwa sana,tena manual tu!

Mahitaji ni mifuko mitupu ya cement,gundi ya maji na kisu cha kukatia,unachukua mifuko ya cement unatoa zile layer mbili za juu coz zinakua chafu,pia unatoa layer ya ndani,ile mifuko huja na layer za karatasi nyingi tu,sijui kwa mifuko ya cement ya siku hizi inakujaje,

So,zamani mifuko hiyo ya karatasi ilitengenezwa sana tu mitaani,ila sina uhakika kuhusu usalama wake wa kiafya kwa kubebea hasa vyakula.

Ooh, noo, mnataka kuanza kulisha watu cement, kweli Afrika makansa hayatakaa yaishe, Mungu atusaidie tu.
 
Back
Top Bottom