Anthony horowitz
JF-Expert Member
- May 4, 2024
- 421
- 1,042
Uzi wa biashara, mme Anza mambo ya midini yenu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mbuzi mzima (live) hawezi kufika huko unless mtu utumie ndege. Option pekee hapo ni kuchinja lakini pia ukisema uchinje kikwazo ni hao waarabu watataka certification ya Halal
Sijawahi hata kupata nafasi ya ualimu wa chekechea😅We jamaa lazima ni Teacher wa kiswahili au civics😂
Sorry naweza pata number yako?Kwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.
Muhimu tuelewane. Hata akiongea "Kijerumani", kama mwisho wa mazungumzo tunafikia muafaka, hakuna shida kabisa!Tatizo lao wanapenda kuzungumza kiarabu, hata km anajua kingereza atavunga, ila morocco kuna ela