gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Ndio maana yake hata Mchagga wa Kimara hawezi kuoa wajukuu wa Mengiubaguzi upo hata kwa wenyewe kwa wenyewe kama kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana yake hata Mchagga wa Kimara hawezi kuoa wajukuu wa Mengiubaguzi upo hata kwa wenyewe kwa wenyewe kama kwetu
Wabongo wanakufa kila siku Sauzi na wanauliwa na weusi wa hukoUmekaa zambia mkuu? Wanabagua sana watu kuja kwaio ubaguzi upi kila mahali, Tanzania sisi ndo tunajufanyaga wema kuthamini mtu kuja kuliko mzawa
Itakuwa alieenda na mzungu wakeHao waliokufanyia ubaguzi labda uliwaudhi , mbona mimi nimekaa nao miaka 5 sijaona ubaguzi wowote ?? Tena kuna wakati naumwa nilikuwa na rafiki yangu akisoma mwendo wa masaa mawili na nusu kwa train na alikuwa akija kuniangalia
Tanzania usafiri bado changamoto sana, ndege ni chache pia gharama zao ni juu sanaSio kwamba wafanyabiashara hawajui. Tatizo ni namna ya kuwasafirisha na gjarama zake. Hizi ndege za kuungaunga hadi Morocco sio rahisi. Miuondo mbinu ya usafirishaji wa meli poa migumu.
Uturuki,bangkok,dubai,saudi arabi,qatar hata marekani ila sana sana middle esat.Tanzania si nasikia tuna export nyama ya mbuzi huwa wanapeleka wapi?
Watanzania ndio jamii ya watu ambao hufasiri kwa uchache zaidi.. yani unawezakuta katika mtaa ni mtu mmoja au hata watu 2 ndio wametoka nje ya mpaka wa TanzaniaKingine watanzania wavivu kutafuta masoko mengine,na hili la kingereza ni tatizo pia anashindwa kuconnect na watu wapya. Nnimetembelea sehem izo sijakutana na mtanzania kwenye biashara izo.
Ushauri mzuriEe unaweza ukapata site ukachoma nyama kule, ila sehem iwe classic sio unaenda kuwachomea wa kirumba mwaloni mwanza au vingunguti dar. Mtu aje kupark cardilac yake kula nyama yako
Mkuu, kuna vitu navijua vizuri sana kwenye biashara hiyo, kusafirisha mbuzi wazima ni biashara kichaa,unaweza kusafirisha,ila sahau kuhusu faida,kwanza waarabu wanachagua sana sana!! Ukimpelekea mbuzi mkubwa sana hanunui, ukimpa aliyenona sana hanunui, waarabu wanapenda mbuzi wadogo,ambao hawajakomaa, angalau ukipeleka nyama kwanza wateja ni wengi, pia ni vigumu kidogo kuanza kuchambua nyama ya mbuzi wa miaka miwili kwenye cold room lenye miili ya mbuzi 2000, kikubwa ni uaminifu, ukipata mteja akakwambia sitaki mbuzi wazee wewe jiongeze, kuna waarabu hawanunui mbuzi sababu tu ya rangi yake, mwingine akiona tu hata mkwaruzo kwenye ngozi hanunui, jifunze zaidi mkuu,nipo kwenye hiyo industry,so najua 1i-2-3Si kweli,mpaka mbuzi. Cha msingi uzifikishe salama. Mbuzi wanauzwa wengi
shukran...Mkuu, kuna vitu navijua vizuri sana kwenye biashara hiyo, kusafirisha mbuzi wazima ni biashara kichaa,unaweza kusafirisha,ila sahau kuhusu faida,kwanza waarabu wanachagua sana sana!! Ukimpelekea mbuzi mkubwa sana hanunui, ukimpa aliyenona sana hanunui, waarabu wanapenda mbuzi wadogo,ambao hawajakomaa, angalau ukipeleka nyama kwanza wateja ni wengi, pia ni vigumu kidogo kuanza kuchambua nyama ya mbuzi wa miaka miwili kwenye cold room lenye miili ya mbuzi 2000, kikubwa ni uaminifu, ukipata mteja akakwambia sitaki mbuzi wazee wewe jiongeze, kuna waarabu hawanunui mbuzi sababu tu ya rangi yake, mwingine akiona tu hata mkwaruzo kwenye ngozi hanunui, jifunze zaidi mkuu,nipo kwenye hiyo industry,so najua 1i-2-3
Yaani ni kama huwa tunaoneana wivu hivi 🙌Tanzania hadi fursa ambazo umetafuta mwenyewe bado serikali haikusupport
sisi tumemuelewa fresh tu.....ni sawa na marijuana lakini USA wanaita bluntHadimu❌
Adimu✔️
Upanda❌
Hupanda✔️
Warabu❌
Waarabu ✔️
Ela❌
Hela✔️
Kwa hiyo?sisi tumemuelewa fresh tu.....ni sawa na marijuana lakini USA wanaita blunt
Tanzania si nasikia tuna export nyama ya mbuzi huwa wanapeleka wapi?
Wale siyo waarabu ni moorsKwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.
Nilienda Morocco kupitia Mali kwa Tombouctou Airport ya Mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa Morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).
Kuna fursa nimeliona Morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.
Kule Waarabu wana hela, hawalili bei kiasi hicho. Kama anahitaji atachukua. Lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya, nimeona niwasanue kwa hili.
Kwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.