Fursa nchini Morocco: Biashara ya mbuzi inalipa sana

Fursa nchini Morocco: Biashara ya mbuzi inalipa sana

Haiingi akilini,
Kwa barabara utakufa njiani
Kwa meli hakuna
Na kwa ndege hiyo gharama yake haina faida


1725111196912.png
 
Pamoja na kuwa na wazo la kuuza Mbuzi mnyama, nimewaza kumbe unaweza kuwa unauza Mbuzi Choma hasa kama utapata fundi mzuri wa Kuchoma

Uzuri wake maombi ya passport yamerahisishwa miaka hii
 
Pamoja na kuwa na wazo la kuuza Mbuzi mnyama, nimewaza kumbe unaweza kuwa unauza Mbuzi Choma hasa kama utapata fundi mzuri wa Kuchoma

Uzuri wake maombi ya passport yamerahisishwa miaka hii
Ee unaweza ukapata site ukachoma nyama kule, ila sehem iwe classic sio unaenda kuwachomea wa kirumba mwaloni mwanza au vingunguti dar. Mtu aje kupark cardilac yake kula nyama yako
 
Tanzania si nasikia tuna export nyama ya mbuzi huwa wanapeleka wapi?
Kwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.
 
Kwenye nchi za kiarabu ikiwemo Morocco,kuna kiwanda kikubwa tu cha kuchakata nyama kinachomilikiwa na muhindi mkoani Arusha huwa kinafanya uchakataji na usafirishaji nyama (ya mbuzi tu) kwenda huko, kiwanda kina uwezo wa kuchakata hadi mbuzi mia tano kw sikuna bado wanasema soko mzigo hautoshi, ni biashara nzuri ila inahitaji mtaji mkubwa,, wat3ja huwa wanatoa order ya kuanzia mbuzi 100 na kuendelea,nilishajaribu kutafuta wateja huko kupitia Go4worldbusiness.com na nikawapata wengi tu, issue ni vigezo na masharti yanakuwa mengi huku mtaji pia ukiwa changamoto, asante kwa kutusanua tena.
Mimi nimefika sehem husika nimeshuhudia,naongea nilichokiona
 
Kwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.
Nilienda morocco kupitia Mali kwa Tombouctou airport ya mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).
Kuna fursa nimeliona morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.
Kule warabu wana ela hawalili bei kiasi hicho,km anaitaji atachukua.lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya,nimeona niwasanue kwa hili.

kwani hapa tz mbuzi ni bei gani hata ukauze Morocco ???
 
Hapo inabidi usafirishe mzigo kwenye ndege ya mizigo. Utahitaji mtaji mkubwa sana.
Nadhani hakuna ndege ya mizigo au ya abiria ya moja kwa moja TZ kwenda Morocco.

Hapo gharama ya kupeleka kiwandani kuchinja na packaging, uwe na vibali vyote vya usafi, export na mkemia
Hii sio fursa ya kuletwa JF
 
Back
Top Bottom