Fursa nchini Morocco: Biashara ya mbuzi inalipa sana

Fursa nchini Morocco: Biashara ya mbuzi inalipa sana

Kwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.

Nilienda Morocco kupitia Mali kwa Tombouctou Airport ya Mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa Morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).

Kuna fursa nimeliona Morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.

Kule Waarabu wana hela, hawalili bei kiasi hicho. Kama anahitaji atachukua. Lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya, nimeona niwasanue kwa hili.
Wanapenda nyama ya mbuzi au mbuzi wa aina gani
 
Kwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.

Nilienda Morocco kupitia Mali kwa Tombouctou Airport ya Mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa Morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).

Kuna fursa nimeliona Morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.

Kule Waarabu wana hela, hawalili bei kiasi hicho. Kama anahitaji atachukua. Lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya, nimeona niwasanue kwa hili.
Aiseee maana mm na supply mahotel uku Arusha kwaiyo una link mkuu unatupa mchongo mizur lakn namna ya kuwafkia wao wateja sasa
 
Yaaani wewe wakitajwa waarabu tu lazima upanick kiukweli siioni tofauti kati yako na wale wanaoiita nchi fulani taifa teule

Hata wewe wakitajwa wazungu unapanick , hapo kuna kupanick au ukweli?? Nyinyi waafrika hamna chuki na waafrika wenzenu ?? Kamuulize Mbowe na Lissu yaliyowafika.Haya mnayotufanyia Wazanzibar nchi mliyoivamia na kuuwa maelfu na mnaendelea kuuwa mpaka leo ni kwa ajili gani kama si chuki dhidi ya waislamu ??
 
Hata wewe wakitajwa wazungu unapanick , hapo kuna kupanick au ukweli?? Nyinyi waafrika hamna chuki na waafrika wenzenu ?? Kamuulize Mbowe na Lissu yaliyowafika.Haya mnayotufanyia Wazanzibar nchi mliyoivamia na kuuwa maelfu na mnaendelea kuuwa mpaka leo ni kwa ajili gani kama si chuki dhidi ya waislamu ??
Chuki dhidi ya waislamu samia angekuwa raisi? Mimi kipaumbele changu hakijawahi kuwa wazungu wote hao ni wabaguzi japo nimewahi kulelewa na familia ya kifaransa nipo mdogo...halafu hakuna watu wabaguzi kama waislamu naongea hivyo kwasababu mimi kwetu ni mikindani
 
Chuki dhidi ya waislamu samia angekuwa raisi? Mimi kipaumbele changu hakijawahi kuwa wazungu wote hao ni wabaguzi japo nimewahi kulelewa na familia ya kifaransa nipo mdogo...halafu hakuna watu wabaguzi kama waislamu naongea hivyo kwasababu mimi kwetu ni mikindani
Kila mtu anajuwa Samia amekuwa Raisi kwa bahati mbaya na tizama mnavyompiga vita , yaani kila akijaribu kuiweka nchi kwenye mstari maaskofu wanakuja na Matamko

Hakuna watu wabaguzi kama wakristo kwani nimeona Marekani mpaka makanisa hii leo yapo ya waafrika na ya Wazungu dini hiyo moja ya ukristo na dhehebu moja
 
Kwa umri wangu huu mdogo nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya nchi hapa Afrika,ktk fursa hii nimebahatika kwenda nchi ya Morocco.

Nilienda Morocco kupitia Mali kwa Tombouctou Airport ya Mali to Duarzazate airport ya morocco.
Nikiwa Morocco nimetembelea majiji tofauti tofauti km unavyojua tunaojitafuta kila tulipo tunaangalia furasa, kati ya majiji niliotembea ni pamoja na Nador, Tetouan na Tangier(mji wa kibiashara sana,maana hapa watu utoka ulaya kuja kufanya biashara hapa).

Kuna fursa nimeliona Morocco, kwa mtu mwenye connection na mtaji unaweza ukaifanya. Morocco biashara ya Mbuzi inalipa sana, kule wanapenda sana nyama choma hasa ya mbuzi, wazungu wanatoka Spain kuja kununua mbuzi Morocco. Mbuzi mwenye ubora mzuri anauzwa hadi laki tano(500,000/=)kwa ela ya kitanzania na wakati mwingine mbuzi zinakuwa hadimu bei upanda.

Kule Waarabu wana hela, hawalili bei kiasi hicho. Kama anahitaji atachukua. Lkn mbuzi wengi sana wanaenda ulaya, nimeona niwasanue kwa hili.
Hapa Tanzania mbuzi huuzwa laki 5 hiyo kwa Wale wazuri gala goat
 
Waliuawa watu 21 kwa kosa lipi? Je ni sahihi kumuhusisha samia na upoteaji wa watu unaondelea nchini kwasasa? Vipi ni sahihi kumuhusisha samia na mauaji yawatoto yanayoendelea nchini?

Samia hajatoa amri usiwe mjinga hivyo na mbishi, Magufuli alitumia vyombo vya dola kulazimisha kukaa madarakani na wakauliwa Hao watu , unajifanya Kama unaishi sayari ya Mars? Magufuli alileta mpaka majeshi ya Burundi hapa Zanzibar. Haya lete jengine
 
Back
Top Bottom