MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,240
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hakuna daladala ambayo haipigi kaziMkoa manyara kila karibia kila kijiji ina tarehe yale ya mnada unaozunguka mwezi mzima,kwahiyo watu wengi wanategemea mitumba toka minadani na mitumba ya minadani ni bei ya kutupa mno,kuhusu daladala sijui za kwenda wapi maana wakati mwingine daladala zinalala bila kazi pale stendi ya babati
We mwenyeji ndo umefafanua vzrManyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.
Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU
Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa
Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...
Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...
Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi
Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.
Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu
NAWASILISHA,
ASANTE.
Fursa ni ipi hapo mkuu?Ni Mahari penye Mabinti wengi tena warembo haswa, ila huwezi kusikia swala la Harusi
Mkuu nataka nije huko kuleta simu niwauzie wenye maduka bei ya jumla ntapata wateja kweli make mi ntakuwa nauza bei ile ile ya jumla ya kariakoo lakn mi namleteya mpaka mlangoniManyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.
Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU
Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa
Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...
Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...
Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi
Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.
Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu
NAWASILISHA,
ASANTE.
Kwa upande wa vyuo kuna chuo kikuu huria...na kuna tawi la Chuo cha uhasibu cha Arusha...Ningependa nikupongeza mtoa mada hasa kwa kutangaza fursa za huu mkoa..hasa hapa makao makuu ya mkoa Babati..
Mbali na fursa alizotaja mtoa mada zingine ni;
Wengine wataongeza fursa zingine...
- Chuo Kikuu-hadi sasa huku hakuna chuo kikuu hata kimoja ambacho kingeweza kuboost sekta zingine za uchumi.
- Garage (gerej) nzuri ya kutengeneza magari..
- Car Wash nzuri
- Maduka ya kuuza bidhaa za jumla mfano; Stationery, vifaa vya ujenzi,n.k.
Inaweza kuwa fursa,ila utokaji wa bidhaa ukawa changamoto mfano biashara ya magari utokaji wake si wa haraka,kwa mfano manyara unaweza ukakuta kwa mwaka mzima ukauza magari mawili,labda mtu aamue kuuza kwa mkopoArusha ni mwendo wa masaa 2.5, Lakini je huoni kwamba hiyo ni moja ya Frusa?
Ni kweliInaweza kuwa fursa,ila utokaji wa bidhaa ukawa changamoto mfano biashara ya magari utokaji wake si wa haraka,kwa mfano manyara unaweza ukakuta kwa mwaka mzima ukauza magari mawili,labda mtu aamue kuuza kwa mkopo
Tupe methodology na ukubwa wa sampuli kata na vijiji ulivyohojiNdugu zangu poleni kwa majukum ya hapa na pale,
Naomba niende kwenye point Moja kwa moja
Ktk pita pita zangu za hapa na pale nilijikuta nikizunguka ndani ya mkoa wa Manyara,
Manyara ni moja ya mkoa uliopo Kati ya Singida na Arusha
Frusa zilizopo manyara ni km ifuatavyo
* Wilaya ya Babati mjini haina kituo chochote cha Radio
* Hakuna Usafiri wa Haice (dala dala) licha ya kwamba uhitaji upo
*Ni mji ambao hauna super market inayo onekana wala kufahamika hivyo watu wengi hufanya shopping Arusha
*Hakuna Show room ya Magari, japo wenyeji wake wanaweza kustahimili kununua magari, maana ni wakulima wazuri wa mazao ya kibiashara
*Nguo za mitumba ni Adim wilaya hii
*Mkoa huu Hauja pata wawekezaji wa Ving'amzi wengi wanajua Azam na Star times tu
* Mabinti ni wengi ila Harusi ni chache sana
Nitaendelea baadae endapo mtahitaji niendelee.
Huu mkoa unaonekana wazawa wanaukimbiaTupe methodology na ukubwa wa sampuli kata na vijiji ulivyohoji
Nimetamani kuja kwa malengo yangu binafsiManyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.
Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU
Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa
Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...
Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...
Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi
Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.
Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu
NAWASILISHA,
ASANTE.
Unawasingizia,Mabinti wa kiiraki hawatambui neno hapana wao ni chapa ilale.
NondoManyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.
Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU
Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa
Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...
Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...
Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi
Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.
Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu
NAWASILISHA,
ASANTE.