Fursa ndani ya Babati - Manyara

Fursa ndani ya Babati - Manyara

Mkoa manyara kila karibia kila kijiji ina tarehe yale ya mnada unaozunguka mwezi mzima,kwahiyo watu wengi wanategemea mitumba toka minadani na mitumba ya minadani ni bei ya kutupa mno,kuhusu daladala sijui za kwenda wapi maana wakati mwingine daladala zinalala bila kazi pale stendi ya babati
Mkuu hakuna daladala ambayo haipigi kazi
 
Manyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.

Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU

Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa

Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...

Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...

Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi

Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.

Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu

NAWASILISHA,

ASANTE.
We mwenyeji ndo umefafanua vzr
 
Manyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.

Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU

Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa

Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...

Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...

Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi

Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.

Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu

NAWASILISHA,

ASANTE.
Mkuu nataka nije huko kuleta simu niwauzie wenye maduka bei ya jumla ntapata wateja kweli make mi ntakuwa nauza bei ile ile ya jumla ya kariakoo lakn mi namleteya mpaka mlangoni
 
Ndio sasahivi Babati kuna mchanganyiko wa watu wengi, Mashirika, Makampuni na Ofisi nyingi za Serikali zimeajiri watu wengi tofauti na wazawa achilia mbali wafanyabiashara. Fursa ni nyingi kwakweli[/QUOTE]

Mkuu vipi kuhusu saluni za kiume hiyo fursa inalipa? biashala ya mazao .Mahindi, unga(dona na sembe), Michele, maharage .Make na mpango was kufanya biashara pindi ntakapo graduate.
 
Mimi kwa sasa nipo Babati. Mtoa maada amedanganya kidogo. Ingawa ni kweli fursa zipo kwa sababu huu ni mji unaokua. Lakini kusema kuwa mitumba hamna si kweli....mitumba ipo kwenye madoksi...na pia sokoni (soko la mitumba) ipo na kuna watu pia huwa wanakata madeli....mpaka barabarani ipo mfano ..ukifika sehemu inaitwa kona mrara opposite na First and last utaona mitumba pemben ya barabara....kuhusu super market zipo lakini chache sana...Show room za magari hamna kabisa
 
Kuhusu Hiace...zipo sana tu...zipo Hiace/Noah kuelekea Katesh,Dareda,Bonga,Kiru,Galapo,Magugu na maeneo mengine. Kwa wawekezaji na wajasi karibuni sana, mje mfanye utafiti ...mnaweza pata cha kufanya.
 
Ningependa nikupongeza mtoa mada hasa kwa kutangaza fursa za huu mkoa..hasa hapa makao makuu ya mkoa Babati..

Mbali na fursa alizotaja mtoa mada zingine ni;
  • Chuo Kikuu-hadi sasa huku hakuna chuo kikuu hata kimoja ambacho kingeweza kuboost sekta zingine za uchumi.
  • Garage (gerej) nzuri ya kutengeneza magari..
  • Car Wash nzuri
  • Maduka ya kuuza bidhaa za jumla mfano; Stationery, vifaa vya ujenzi,n.k.
Wengine wataongeza fursa zingine...
Kwa upande wa vyuo kuna chuo kikuu huria...na kuna tawi la Chuo cha uhasibu cha Arusha...
Japo uwekezaji kwenye sekta ya elimu bado...pia tusisahau tabia za wasomi wengi hukimbilia kwenye miji mikubwa na majiji..
Kwa upande wa Garage fursa zipo...ila maduka ya jumla yapo ya kutosha (ukilinganisha na mahitaji)
 
Arusha ni mwendo wa masaa 2.5, Lakini je huoni kwamba hiyo ni moja ya Frusa?
Inaweza kuwa fursa,ila utokaji wa bidhaa ukawa changamoto mfano biashara ya magari utokaji wake si wa haraka,kwa mfano manyara unaweza ukakuta kwa mwaka mzima ukauza magari mawili,labda mtu aamue kuuza kwa mkopo
 
Nasikia huko kuna kilimo cha maharage ya ngwara. naomba ufafanuzi zaidi maana haya maharage ni big deal huko kenya
 
Ndugu zangu poleni kwa majukum ya hapa na pale,
Naomba niende kwenye point Moja kwa moja
Ktk pita pita zangu za hapa na pale nilijikuta nikizunguka ndani ya mkoa wa Manyara,
Manyara ni moja ya mkoa uliopo Kati ya Singida na Arusha

Frusa zilizopo manyara ni km ifuatavyo
* Wilaya ya Babati mjini haina kituo chochote cha Radio

* Hakuna Usafiri wa Haice (dala dala) licha ya kwamba uhitaji upo

*Ni mji ambao hauna super market inayo onekana wala kufahamika hivyo watu wengi hufanya shopping Arusha

*Hakuna Show room ya Magari, japo wenyeji wake wanaweza kustahimili kununua magari, maana ni wakulima wazuri wa mazao ya kibiashara

*Nguo za mitumba ni Adim wilaya hii

*Mkoa huu Hauja pata wawekezaji wa Ving'amzi wengi wanajua Azam na Star times tu

* Mabinti ni wengi ila Harusi ni chache sana

Nitaendelea baadae endapo mtahitaji niendelee.
Tupe methodology na ukubwa wa sampuli kata na vijiji ulivyohoji
 
Manyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.

Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU

Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa

Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...

Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...

Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi

Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.

Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu

NAWASILISHA,

ASANTE.
Nimetamani kuja kwa malengo yangu binafsi
 
Manyara haina population kubwa mpaka kuwe na uwepo wa vitu hivyo....Lakini kwa uwezo wake kuna vitu vya kitofauti zaidi ambavyo kama hujavielewa utakuja kuumia ukienda na biashara yako.

Radio Manyara ipo BABATI....Radio Habari Njema ipo MBULU

Daladala zipo za kwenda sehemu nyingi tu kama Bonga,Dareda,Riroda,Galapo,Magugu na sehemu nyingi tu...hauezi leta daladala itakayobeba watu kutoka stand mpk gendi au nangara au mkoani ndo maana biashara ya bajaji na boda boda imeshamiri sana mkoa huu...ungeniambia uongeze idadi ya bajaji ningekuelewa

Huezi eka show room ya magari babati...mji hauna watu wenye uwezo wa kununua magari kiivo, watu wengi ni wa kipato cha kati na chini...

Nguo za mitumba hazitoki kwa kuwa watu wa Manyara wana tamaduni ya kwenda minadani kuanzia tarehe 16 Galapo na kuisha tarehe 26 Babati hapo unazunguka sehemu mbali mbali kama Riroda, Bonga, Kiru, Magugu, Dareda Center na Mission, Endasaki, Endanachani, Gidas...kwahy huezi fungua frem ukauza mtumba utaishia kuzivaa mwenyew...pia kuna kitu inaitwa top 200 ni maarufu sana babati na ndo nguo za mtumba zinavyouzwa babati...

Vinga'muzi havivumi Babati kwa sababu kuna cable networks kama Manyara Cable Network (MCN) (90000/= Tshs) na Babati Cable Network (Aviti) (80000/=) ambayo ni bei rahisi kushinda hata hivyo ving'amuzi

Wanawake wapo wengi nakuunga mkono...ni wewe tu...desirii wa kiiraq ata ukimpa tabasamu zuri tu unamla hana shida ata.

Nadhani hujafanya research vizuri ndani ya huu mji....ulikurupuka kutoa uzi huu

NAWASILISHA,

ASANTE.
Nondo
 
Back
Top Bottom