Fursa Singida kwa sisi Diaspora

Kwenu Singida?
 
Nimeshangaa diaspora anajiita muuza simu used, sijui alikua anaziuzia huko mbele while wazungu wanacheza na brand new.
Nikikwambia mm nilishawahi kuuziwa mche wa sabuni kwa kudhani kuwa ni Simu Portugal hutaamini sababu unadhania wazungu ni miungu watu!hii staili ya kuuziana miche ya sababu nilipigwa na wazungu Euro 100,kipindi BlackBerry zipo kwenye chati
 
Nikikwambia mm nilishawahi kuuziwa mche wa sabuni kwa kudhani kuwa ni Simu Portugal hutaamini sababu unadhania wazungu ni miungu watu!hii staili ya kuuziana miche ya sababu nilipigwa na wazungu Euro 100,kipindi BlackBerry zipo kwenye chati
Braza umeizunguka dunia si mchezo, endelea kutupa maneno.
 
Km tanzania ingekuwa binadam singida itakuwa sijuj kiungo gani??!!!maana pamekaa kichovu sana
Tanzania mikoa yote imekaa kichovu chovu hata dar asilimia kubwa ni kuchovu tu ukitoa POSTA OYSTERBAT MASAKI sehemu zilizobaki za wachovu tu
 

Natamani saana kujua undani wa hili saana sema haupo straight kunipa story nzima... maswali gani uliulizwa? Visa ilikuwa ya nini[tourist,business n.k]?

Kwanini walikuhisi umebeba ngada?
 
Hapana mkuu!sema nataka nikajifiche mikoa ya kinyonge
Acha ulofa,Singida sio mji wa wanyonge, nj center ya nchi ambayo kwa sasa ipo connected vizuri na barabara za lami na imechangamka vizuri. Sio Singida uliyoiona mwaka 2004. Nakhshauri kwa lengo lako hilo kajifiche kwenu mkuu.
 
Chezea JF wewe
 
Acha ulofa,Singida sio mji wa wanyonge, nj center ya nchi ambayo kwa sasa ipo connected vizuri na barabara za lami na imechangamka vizuri. Sio Singida uliyoiona mwaka 2004. Nakhshauri kwa lengo lako hilo kajifiche kwenu mkuu.
Kwetu siwezi kwenda mkuu!watanipiga mizinga ya hapa na pale nitafulia kiurahisi
 
Natamani saana kujua undani wa hili saana sema haupo straight kunipa story nzima... maswali gani uliulizwa? Visa ilikuwa ya nini[tourist,business n.k]?

Kwanini walikuhisi umebeba ngada?
Mkuu Japan ni nchi ngumu Sana kuingia kizembe!mfano mm nilikuwa na visa ya tourist lakini show money hata 400usd ilikuwa haifiki,kuhusu maswali ni kama vile nilishtukizwa tu sababu sikuweka akilini kwamba hilo litatokea!mimi nilidhani ukishapata tu viza Africa basi amemaliza mchezo unaingia tu kama home,nadhani walihisi kama nimebeba madawa sababu nilikuwa nimevaa kibaharia buti kubwa bonge la jinsi(mapigo ya kipindi hicho)na uchovu wa safari ulichangia nilikuwa nimechoka balaa imagine 16hours upo angani
 
Vipi wewe ni mzoefu katika biashara hiyo
 
Km tanzania ingekuwa binadam singida itakuwa sijuj kiungo gani??!!!maana pamekaa kichovu sana
Ila kumbuka No1 billionaire anatokea singida kwa hio acheni kusingizia mazingira mjasiriamali yeyote hutafuta mazingira yenye changamoto kubuni fursa karibu singida mkuu, ila kua makini na aina ya watu utakao chagua kua nao karibu.
 
Njoo Iramba anzisha kilimo cha ukweli, Hardware ya maana pia nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…