Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
- Thread starter
-
- #61
Kuna watu wa aina gani huko mkuu?Ila kumbuka No1 billionaire anatokea singida kwa hio acheni kusingizia mazingira mjasiriamali yeyote hutafuta mazingira yenye changamoto kubuni fursa karibu singida mkuu, ila kua makini na aina ya watu utakao chagua kua nao karibu.
Kama unadhani Singida ni 5m umepotea, baki tu huko huko maana utakuja ufe bila watu kujua kwa sababu ya njaa.Mkuu nimeamua kurudi bila shuruti baada ya kukaa huku 12 years, pesa ilikuwepo ila imeisha kwenye bata sasa nimeamua kurudi sababu nimeshakuwa muhenga Sana!Nina cash 5mil ndio maana nataka nikimbilie singida maana najua Dar hata mwezi hautaisha nitakuwa nimefulia
Kuhusu kilimo Ndugu yangu unisamehe bure kimewatia mimba watu wengiNjoo Iramba anzisha kilimo cha ukweli, Hardware ya maana pia nzuri.
Tusitishane mkuu!ina maana huko mnafanya biashara na mabilioni?Kama unadhani Singida ni 5m umepotea, baki tu huko huko maana utakuja ufe bila watu kujua kwa sababu ya njaa.
Hata singida kuna watu wanapenda vya bure na starehe pia na kumbuka maisha kwa sasa ni magumu ukiwa mtu wa totoz ndo utazika mtaji na utaanza upya, usikae singida mjini nenda vijijin kwa kuanzia unaweza kwenda vijijin kama maeneo ya Nkalakala, Mwanga Malaja Kinyambuli, anza kununua mazao safirisha kwenda kahama komaa mwenyewe Solon utapata faida kidogi itakayo kuwezesha kusish bila kula mtaji wakati unasubiria msimu wa kununua alizeti uweke store, msimu ukifika gawa mtaji nunua alizeti weka Store nyingine endelea kuzungusha nunua na kuuza ili usije kula mtaji kikubwa usije jichanganya ukaanza kula mtajiKuna watu wa aina gani huko mkuu?
Hahahaa! Mkuu hunitakii mema kabisaWema Sepetu ni mwanasingida mwenzenu, mkirudi na mapesa yenu msisite kumshirikisha kwenye hii mission yenu.
Mkuu vp kuhusu kijiji cha Iguguno nasikia sio mbali na town?Hata singida kuna watu wanapenda vya bure na starehe pia na kumbuka maisha kwa sasa ni magumu ukiwa mtu wa totoz ndo utazika mtaji na utaanza upya, usikae singida mjini nenda vijijin kwa kuanzia unaweza kwenda vijijin kama maeneo ya Nkalakala, Mwanga Malaja Kinyambuli, anza kununua mazao safirisha kwenda kahama komaa mwenyewe Solon utapata faida kidogi itakayo kuwezesha kusish bila kula mtaji wakati unasubiria msimu wa kununua alizeti uweke store, msimu ukifika gawa mtaji nunua alizeti weka Store nyingine endelea kuzungusha nunua na kuuza ili usije kula mtaji kikubwa usije jichanganya ukaanza kula mtaji
Huo ushauri wa kizee, Njoo tukuonyeshe kilimo cha zaidi ya hicho unachowaza wewe. Chuki zenu dhidi ya mkoa wetu tumestuka! Huko kwingine kila mwaka wanaomba chakula cha msaada hamsemi kubaya ila singida??? Mpaka mwaka huu wengine Pombe Kawaambia wafe tu na njaa maana serikali haina shamba, hukusikia Singida ikilia njaa.mkuu kwa Singida biashara nzuri ni kuuza nafaka mfano mahindi, mchele, maharage....unajua singida ni kukame zao pekee wanalotegemea ni alizeti na karanga kidogo,,,,biashara ya nafaka inalipa nguo sikushauri sana Singida hawahusudu sana uvaaji
Singida nakujua kuliko unavyofikiria na mpaka muda huu niko Singida mkuu wangu leo nimetoka Kinampanda nina shamba huko nalima sasa sijui utanidanganya na nini.....Huo ushauri wa kizee, Njoo tukuonyeshe kilimo cha zaidi ya hicho unachowaza wewe. Chuki zenu dhidi ya mkoa wetu tumestuka! Huko kwingine kila mwaka wanaomba chakula cha msaada hamsemi kubaya ila singida??? Mpaka mwaka huu wengine Pombe Kawaambia wafe tu na njaa maana serikali haina shamba, hukusikia Singida ikilia njaa.
Nimeshabet Sana mkuu mkeka unachanika[emoji2]anza kubeti ili ijae jae kidogo
Sio mbali na town nikweli na bei zake pia haziachani na za town ndo maana nikashauri aende ndani zaidiMkuu vp kuhusu kijiji cha Iguguno nasikia sio mbali na town?
Mkuu yawezekana nakujua tujetupeane maujuz pm ya kinampandaSingida nakujua kuliko unavyofikiria na mpaka muda huu niko Singida mkuu wangu leo nimetoka Kinampanda nina shamba huko nalima sasa sijui utanidanganya na nini.....
Ndani zaidi mkuu[emoji2]!kweli nitapata hata internet nipate kuleta feedback hapa Jf?Sio mbali na town nikweli na bei zake pia haziachani na za town ndo maana nikashauri aende ndani zaidi
Vijiji vyote nilivyokutajia vina 3g ya Halotel na watumiaji wa internet bado ni wachache ni wachache so don't worryNdani zaidi mkuu[emoji2]!kweli nitapata hata internet nipate kuleta feedback hapa Jf?
mmh poa poa lakini hiyo avatar yako.....!Mkuu yawezekana nakujua tujetupeane maujuz pm ya kinampanda
Mkuu nataka kujua zaidi kuhusu Iguguno kama unapafahamu vizuri na fursa zake piaVijiji vyote nilivyokutajia vina 3g ya Halotel na watumiaji wa internet bado ni wachache ni wachache so don't worry
Avatar yangu imefanyaje tenammh poa poa lakini hiyo avatar yako.....!
Si mnasema pakame, hapalimiki-unafanya nini tena huko sasa mkuu?? Kinampanda ndio home hapo. Karibu sana. Tarehe 8 nitakuwa hapoSingida nakujua kuliko unavyofikiria na mpaka muda huu niko Singida mkuu wangu leo nimetoka Kinampanda nina shamba huko nalima sasa sijui utanidanganya na nini.....