Haya mafuta ya alizeti tunazalisha Tanzania kwa nini tuimport?
hayo mafuta yanatoka nchi gani mkuu? sample inapatikana tanzania?
Hlo container la 40feet mnauza dola ngap?
weka na full bei ili tuangalie itatulipaje kama wafanya bisness
Hlo container la 40feet mnauza dola ngap?
weka na full bei ili tuangalie itatulipaje kama wafanya bisness
Ndugu yangu nakuwekea bei ya chupa moja CIF Dar es salaam Port-suala la ushuru sijaliweka utaangali wewe mwenyewe.Pitia madukani linganisha bei kama bei ipo safi basi tutangea zaidi
1L $1.32
2L $2.52
5L $6.1
Ndugu yangu haya mafuta yanatoka Ukraine unaweza hata kuangalia stastic Ukraineni nchi ya pili Duniani kwa uzalishaji wa alizeti na ndo maana bei yake si kama ya Tanzania
Top producers of sunflower seeds
Ukiweka na ushuru hapo inakuwa bora x100 umeenda kiwandani Singida na kuchukua alizeti yako saaaafi! Serikali hebu ifanye mkakati Wa maksudi kuinua kilimo cha alizeti hapa nchini. Wakulima wetu wanateseka na pamba wakati kuna mazao ya kuwainua kiuchumi haraka kabisa!!
sample kaka, sample inapatikana? njoo pm
Sijaelewa
Unayanunua kwa bei gani dodoma kabla ya kuuza?Labda nataka kujua Soko, ikiwa ni pamoja na Bei, Ukubwa wa soko na Changamoto Zake !