Haya mafuta ya alizeti tunazalisha Tanzania kwa nini tuimport?
Ndugu yangu hata mimi ningependa tuzalishe zaidi ili kukidhi mahitaji lakini kwa bahati mbaya demand ni kubwa mara tano zaidi ya uzalishaji siyo tu kwa mafuta ya kupikia anza na sukari,unga wa ngano,na mengine mengi--