akishafika uku my dear hatataka umuuzie na yy ataenda kwenye source mwenyewe akanunue ..mfano halisi ng'ombe wacomoro wanaenda wenyewe mapaka minadan vijijin uko itakuwa hapo k/koo!?Mimi ningepata mkomoro tuwe tunamalizana nae kibiashara...awe anakuja kubeba huku mimi namkusanyia nampa bila bei ya usafiri...sitaki safari zisizo na uhakika za majini.[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
kama inakwenda moron ni 3.na Nusu mpaka 4 kama inakwenda anjuan bas ni siku 5Mkuu inachukua mda gani meli kufika kutoka kwetu uku
Kweliakishafika uku my dear hatataka umuuzie na yy ataenda kwenye source mwenyewe akanunue ..mfano halisi ng'ombe wacomoro wanaenda wenyewe mapaka minadan vijijin uko itakuwa hapo k/koo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekudanganya Zanzibar 99% sio Waislamu nani?aliekwambia zanzibar 99% waislam nan!? iyo ilikuwa zaman sana na kipindi iko hakukiwa inaruhusiwa kitimoto lakn comoro ni Muslim country wanaish kwa sheria za kiislamu
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee baba usijiloge kupeleka nyama Comoro,peleka wanyama hai,wale ni waislamu wanata kuchinja wenyewe.Mkuu nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi nataka nifanye biashara ya nyama kwani wacomoro wananunua nyama zaidi Brazil. Nafikiri logistics za hapa TZ na Comoros ni nyepesi kuliko Brazil. Please kama hutojali naomba ufafanuzi kidogo namna ya kulifikia soko la nyama.
frozen meat zinaenda sana tu ndizo wanazotumia kwa wing tena zinatoaka mbali Belgiummzee baba usijiloge kupeleka nyama Comoro,peleka wanyama hai,wale ni waislamu wanata kuchinja wenyewe.
You sound very tasteful....though iam hesitating to say this is a trap.....Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]You sound very tasteful....though iam hesitating to say this is a trap.....
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
Nafikiri changamoto ni logistics za usafirishaji. Mbona Brazil wanapeleka nyama na sio live animal?mzee baba usijiloge kupeleka nyama Comoro,peleka wanyama hai,wale ni waislamu wanata kuchinja wenyewe.
Mkuu naomba unichek watsup 0654171555sorry bro mimi ni mfanyabiashara pia napeleka vitu vyangu Zambia na Congo...kiuhalisia huwezi kwenda tu sehem kuangalia fursa mikono mitupu! unaenda na kimzigo kidogo Cha kukusupport vinginevyo unaweza jikuta mtaji unafanyia tour ya kuangalia fursa... In this field of hustling every point is bizness hvyo ni bora mtu akijua hata kitu ambacho halipii largage kubwa akabeba ili ktk ile research yake anakuwa na Cha kucover some expenses.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na mim ngoja nifanye research. Watsup 0654171555Fanya uchunguzi wanapelekaga vitu gani then tuwasiliane Mimi Nina marafiki kibao Comoros. Tunaweza kufanya hiyo business.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu fanya kunieka apo na mimi japo silimi iliki naweza kuwa na mtaji..Duh .....mimi nakusanya sana iriki milima ya usambara ila nauzia mombasa na uganda
Sasa tunafanyaje?maana mimi ni mzee wa kubadili Gia angani
Any way nishafikaga visiwa vya moheli lkn nkitokea mafia
Namba ya sim nshakupa fanya hivyo tuyajenge
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutag uo Uzi mkuu.Kuna uzi himu wa 2011, jamaa wameeleza jinsi walivo mazurumati hayo mangazija
Dumelang
Kwaiyo mkuu nikitokea bongo nipitie Zanzibar ndo nafika Comoro kirahis?Biashara na Comoro inachangamoto sana, hawa jamaa hawaongei kiswahili ni kifaransa,
pili hakuna usafir wakueleweka hasa usafir wa mizgo. Mahitaji yao mengi wanayapata kupitia zanzibar ambao wanatumia majahazi kupeleka vitu huko, napia wadau wanalalamika kua bahari yao inachangamoto ya mvua zenye upepo unaosababisha mawimbi makubwa na vimbunga.
Nchi yao yote nikama ufukwe hawawez kulima chochote kila ktu knahitajika kwao nigarama sana. Bei ya kilo ya nyama au nyanya inaweza kufika mara 5 yabei ya tz.
Kitamaduni hawa jamaa wanafanana sana nawazanzibar/watu watanga(washiraz) wengi ni waislam nimchanganyiko wa wabantu na waarabu ila walitawaliwa na waarabu na wafaransa. Wengi wanandugu uarabuni na ufaransa ambao ndo source kubwa yakipato kwao.
Vitu vyao vingi wanaagiza kutoka ufaransa, pakistan, china na kenya sababu usafir wakueleweka wa anga.
Vitu kma mchele mafuta nguo, mashine. Mbogomboga nyama navitu vinginevidogo dogo wanapata kutoka zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mkuu kufahamu culture ya sehemu husika inakuwa rahisi kujua ni namna gani utafanya nao biashara ..Watu wako poa,sasa kwa kusuka sijui unataka kuwa unatumia usafiri gani, unataka peleka bidhaa gani,na mambo kaa hayo, lakini unajua afrika ulinzi ni hivyo hivyo mkuu, na wewe culture yao yanini mkuu, si wewe ni biashara, unaenda unapeleka bidaa, unalipwa kisa unarudi hapa kwetu tz, lakini sio watu wabaya mkuu