Prof_Adventure_guide
Member
- Dec 21, 2023
- 96
- 183
Ndio ni kweli, gharama zinapungua kutokana na idadi ya watuMkuu mambo vipi?
Big Up sana
Hamasisha kupanda kama kundi hapo gharama zinaweza kushuka hadi 1M kwa kuanzia na Watu 10.
Tafuta watu 10 wakupe million million.
Watu wanapenda kupanda ila gharama ndio changamoto.
Nina haja sanaaa....ila 1.7m jan mmmm basi sawaWana jamvi mnaonaje kama mtakuwa tayari kuchangamkia fursa hii ya kutembelea mlima Kilimanjaro kwa gharama nafuu zaidi ambayo imeandikwa kwenye tangazo letu hapo chini!
Changamkini fursa chap chap ili ukajionee kwa macho na kujifunza mengi zaidi kwa mwaka huu 2025
Kwa maelezo zaidi nicheki Whatsapp +255789448533
Tendwe kilele cha mlima Kilimanjaro!
Tuliwahi kuwa na Mpango na JF kuwasaidia/kuwezesha wanaJF tupande kwa pamoja.Nina haja sanaaa....ila 1.7m jan mmmm basi sawa
Iamshe hiyo April ama May hukoTuliwahi kuwa na Mpango na JF kuwasaidia/kuwezesha wanaJF tupande kwa pamoja.
Ingetugharimu Only 900k.
Ilishindikana Bodi walilinyima barakaIamshe hiyo April ama May huko
Natamani siku nipande huko kabla hawajaweka zile gari za juu wire...nataka nipige mguuIlishindikana Bodi walilinyima baraka
Ni adventure nzuri sana.Natamani siku nipande huko kabla hawajaweka zile gari za juu wire...nataka nipige mguu
Najitahidi blood πBaraka utazipata ukiongeza masaa ya kupiga kazi blood ππΎππΎ
Leo imenikuta pori, Ila lazima nifosi mazingira mishale πΊπ!Najitahidi blood π
How iz your weekend πΊπ
najua lazima kiwake, na ukishawaka huelew raiaa o-o-teee in chuga's voice...Leo imenikuta pori, Ila lazima nifosi mazingira mishale πΊπ!
ππΎππΎππΎHahaha
najua lazima kiwake, na ukishawaka huelew raiaa o-o-teee in chuga's voice...
Nakubali blood
Hapo nyinyi kwenye 1.7mil faida yenu (Cha juu) kiasi gani?Wana jamvi mnaonaje kama mtakuwa tayari kuchangamkia fursa hii ya kutembelea mlima Kilimanjaro kwa gharama nafuu zaidi ambayo imeandikwa kwenye tangazo letu hapo chini!
Changamkini fursa chap chap ili ukajionee kwa macho na kujifunza mengi zaidi kwa mwaka huu 2025
Kwa maelezo zaidi nicheki Whatsapp +255789448533
Tendwe kilele cha mlima Kilimanjaro!