Fursa ya kupanda Mlima Kilimanjaro mpaka kileleni Uhuru Peak

Fursa ya kupanda Mlima Kilimanjaro mpaka kileleni Uhuru Peak

Mkuu kiliexperience naomba kujua faida za kupanda hiyo milima mrefu, au is just a hobby or fantacy
Kupanda Mlima Kilimanjaro ni fursa nzuri kwa Watanzania kwa sababu inaweza kuongeza uchumi wa eneo husika. Pia, inaweza kuwa chanzo cha ajira kwa watu wa eneo hilo kama vile waongozaji watalii, wapishi, na wafanyakazi wa hoteli. Kijiografia, inasaidia kukuza utalii na kuvutia watalii wa ndani na nje ya nchi. Kupanda Mlima Kilimanjaro pia inaweza kuchangia katika kuhamasisha Watanzania kujivunia utamaduni wao na kuthamini maeneo ya asili ya Tanzania.
 
Mkuu mambo vipi?
Big Up sana
Hamasisha kupanda kama kundi hapo gharama zinaweza kushuka hadi 1M kwa kuanzia na Watu 10.

Tafuta watu 10 wakupe million million.

Watu wanapenda kupanda ila gharama ndio changamoto.
Wakiwa zaidi ya watu 20 mpaka laki 9 tunaenda zetu kileleni boss
 
Kwann umetumia neno fursa ?hilo neno hapa jukwaani linaogopeka kuliko icho kiasi ulichotaja
Wana jamvi mnaonaje kama mtakuwa tayari kuchangamkia fursa hii ya kutembelea mlima Kilimanjaro kwa gharama nafuu zaidi ambayo imeandikwa kwenye tangazo letu hapo chini!

Changamkini fursa chap chap ili ukajionee kwa macho na kujifunza mengi zaidi kwa mwaka huu 2025

Kwa maelezo zaidi nicheki Whatsapp +255789448533

Tendwe kilele cha mlima Kilimanjaro!

 
Mwaka huu namimi ngoja nikapande mlima sasa.

Ngoja kwanza umesema sh ngapi? Weeeh nimeshtuka bora kula beer 🫵🏿🫵🏿
 
Habari wana jamvi, leo nawaletea fursa ya kufanya utalii wa ndani na fursa hii ni kwaajili yako wewe mwanasiasa ili uweze kuimarika zaidi kisiasa na kiuchumi.

Wanasiasa kuna muda tunatakiwa kupata utulivu wa akili katika sehemu tofaut tofauti ili tuweze kugundua baadhi ya mambo ambayo ni muhimu katika taifa letu na njia ya kuyagundua hayo ni kwakufanya utalii waendani na kujionea uzuri wa nchi yetu ya Tanzania na rasilimali zetu tulizonazo hivyo ningependa kuwaletea firsa hii mezani ili muweze kuchanganua ninyi wenyewe.

Safari hii ni ya kupanda mlima kilimanjaro kuanzia Marangu gate to UHURU PEAK Kilele cha mlima Kilimanjaro,

Hii itaghalimu kiasi cha shilingi Milioni 1.7 kwa kwa mtu mmoja lakini pia gharama zitapungua kulingana na mwitikio wa watu, watu wanavyozidi ndivyo gharama zinapungua!

Karibu sana wanasiasa

Nitumie ujumbe Whatsapp 0789448533
 

Attachments

  • Blue Travel And Tour Flyer A4_20241207_075600_0000.png
    Blue Travel And Tour Flyer A4_20241207_075600_0000.png
    2.2 MB · Views: 2
Back
Top Bottom