Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Hii ni sawa na kukukopesha kwa riba kwa sababu kama mwaka ukiisha na changu kimeisha hapo sio uwekezaji huo kwa sababu hela niliyotoa bado itakuwa inaendelea kuzalisha na ipo kwenye mzunguko wenu.

Hapo ni ujanja tu unaotumika bora muende bank mkakope ili muendeleze hiyo biashara yenu wewe na mume wako lakini hii ya kutaka kutumia lugha ya kuwekeza mtawapata wale wasiojua nini maana ya kuwekeza.
 
Hii ni sawa na kukukopesha kwa riba kwa sababu kama mwaka ukiisha na changu kimeisha hapo sio uwekezaji huo kwa sababu hela niliyotoa bado itakuwa inaendelea kuzalisha na ipo kwenye mzunguko wenu.

Hapo ni ujanja tu unaotumika bora muende bank mkakope ili muendeleze hiyo biashara yenu wewe na mume wako lakini hii ya kutaka kutumia lugha ya kuwekeza mtawapata wale wasiojua nini maana ya kuwekeza.


Si riba. Ni biashara ambayo ni minimum risk. Unaweza kuongeza mtaji wakati wowote kabla au baada ya kumaliza mwaka ikiwa biashara bado ipo.

Sisi biashara tunazowekeza ni za muda mfupi, kama vile kununuwa machimbo ya mchanga na kuchimbisha mchanga. Eka moja ya mchanga inachimbwa kwa wiki tatu inakwisha.

Unaweza kujikuta pesa zako zimerudi zote kabla ya mwaka haujaisha lakini tunaweka mwaka mmoja kuwa ni maximum ili na sisi kujipunguzia risks.

Banks tunazijuwa lakini hatutaki kujiingiza huko, kwanini tuchukuwe bank wakati bank wanangoja mimi na wewe tukaweke pesa huko ili wawakopeshe wengine kwa faida?

Uwekezaji wa muda mfupi.
 
Kwa wale walioulizia kwa simu na PM, vifuatavyo itabidi uje navyo kwa kuandikiana mkataba:

Picha zako mbili na za warithi wako wawili.

Kopi ya kitambulisho chako na warithi wako.

Asanteni.
 
Bi Zainab,

Asalaam Alaikum.

Count me in. Ntakutumia pesa kwa njia ileeee. I'll start with 2M in 3 days time.

In sha Allah itakuwa kheir.


Umesharudi bi kizee? ninakupigia sana simu yako sikupati.
 
Umesharudi bi kizee? Ninakupigia sana simu yako, sikupati.


Not yet but In sha Allah soon, kibaridi kimenishinda huku. Namba ile ya TZ sasa hivi haipatikani, mpaka nikirudi, will call you. Lakini pesa zangu utapata before I come, nimeshawaambia wakutumie. See you soon.

*Nyooo, kizee mimi au wewe? Na wewe JF wamekuingiza mujini? ST.
 
Leo nawaletea fursa ya kuwekeza salama kabisa.

Kama una fedha zimekaa bure au unaziweka benki basi hii ni fursa ya kujiongezea kipato bila jasho, kwani kazi zote za kuwekeza tutazifanya sisi, wewe unawekeza fedha zako na zinakuzalia.

Tunakuhakikishia pesa utazowekeza zitakuzalia 100% kwa mwaka na au zaidi.

Pesa za mwanzo kuanzia ni TZS 500,000/=

Hatutachukuwa wawekezaji zaidi ya 20 kwa miezi sita ya mwanzo.

Pesa utazowekeza tunaziingiza katika biashara za halali kabisa ambazo zipo tayari zinafanyika.

Ukianza na kuwekeza shillingi 500,000/- tunakuhakikishia malipo ya shillingi 20,000 kila wiki kwa wiki 52

Plan A:
Ukiweka 500,000 utalipwa baada ya siku 30 au chini ya hapo za mwanzo, Shillingi 20,000 kila wiki X wiki 52 = 1,040,000

*Service charge yetu ni shillingi 40,000 kwa hiyo unabaki na 1,000,000 kamili.

Kwa plans zingine unaweza kuwasiliana na Babu Abdul 0625249605

Tunapenda ifahamike kuwa hii si desi wala "pyramid scheme", huu ni uwekezaji halali, sisi tunawekeza katika kazi halali zilizopo hapa kijijini kwetu Misugusugu, Kibaha. Kama vile machimbo ya mchanga, bodaboda, maduka ya hardware, mini market, maduka ya vyakula, uuzaji wa kokoto, uuzaji wa mbao.

Ukipenda unaweza kututembelea wakati wowote, miradi yote tunasimamia wenyewe na vijana tuliowaajiri.

Kama una maswali yoyote tafadhali uliza na Babu Abdul (Mume wangu) atayajibu.

Mradi huu kwa kuwa msimamizi mkuu ni mume wangu, Babu Abdul, maswali yote na mawasiliano yatakuwa yanapitia kwake.

Asanteni.
Asante kwa ujumbe. Mimi niliwahi kufika nyumbani kwako Sinza hivyo nakufahamu kwa kiasi fulani.

Kuhusu hii plan, samahani, hii sio Riba? Na kama Riba, wewe ninayekujua ni muumini mtiifu kindaki ndani wa dini ya amani dini ya Kiislam, ni sawa?
 
Asante kwa ujumbe. Mimi niliwahi kufika nyumbani kwako Sinza hivyo nakufahamu kwa kiasi fulani.

Kuhusu hii plan, samahani, hii sio Riba? Na kama Riba, wewe ninayekujua ni muumini mtiifu kindaki ndani wa dini ya amani dini ya Kiislam, ni sawa?

Si riba. Ni biashara ambayo ni minimum risk. Unaweza kuongeza mtaji wakati wowote kabla au baada ya kumaliza mwaka ikiwa biashara bado ipo.

Sisi biashara tunazowekeza ni za muda mfupi, kama vile kununuwa machimbo ya mchanga na kuchimbisha mchanga. Eka moja ya mchanga inachimbwa kwa wiki tatu inakwisha.

Unaweza kujikuta pesa zako zimerudi zote kabla ya mwaka haujaisha lakini tunaweka mwaka mmoja kuwa ni maximum ili na sisi kujipunguzia risks.

Banks tunazijuwa lakini hatutaki kujiingiza huko, kwanini tuchukuwe bank wakati bank wanangoja mimi na wewe tukaweke pesa huko ili wawakopeshe wengine kwa faida?

Tunavyofanya hakuna tofauti na islamic banking.

Uwekezaji wa muda mfupi.
 
Hii fursa nzuri sana.....sasa sisi ambao tupo mikoani utaratibu wenu ukoje???

Tunakutumia mkataba kwa email, una sign na kuurudisha kwetu kwa njia ya mabasi, ukiwa na picha mbili zako pamoja na picha mbili mbili za warithi wako wawili. Na pesa tunatumiana kwa TiGopesa.
 
sawa nshawasiliana na mzee Abduli ,,ntakuja hapo kuangalia mnavyoendesha shughuli zenu ,,,ili tufanye huo utaratibu
 
Back
Top Bottom