Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Kwenda China siyo kama kwenda Kizimkazi, unahitaji watu wenye connection na exposure. Naomba tusimkatishe tamaa mleta idea na wale walionza kuhamasika japo tahadhari ni mhimu kwa Kila fursa.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni fursa pia tupo watanzania milion 60 sidhani kama Wote wataenda hapo ama wataweza masharti na vigezo... BTW kila mtu ana machaguo yake hivyo zote ni fursa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
你好大哥

Yiwu ni tofauti na Guangzhou na ina bidhaa tofauti kidogo na Guangzhou...

Kwa kuwasaidia wafanyabiashara unaowalenga ungeainisha aina ya bidhaa wanazoweza kutana nazo huko ili wajipange...
Kuna semina tutafanya kuna catalogue tutaweka na kuna samples pia na contacts ni project endelevu asante kwa mchango chanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Guangzhou(city-jiji) ipo ndani ya Guangdong (province-mkoa) iliyopo kusini mwa China...province ya Guangdong ina miji mikuu mitatu ya kibiashara ambayo ni Guangzhou (retail na wholesale), Dongguan (viwanda na wholesale) na Shenzhen (silicon valley)...

Yiwu ni mji upo province ya Zhejiang mashariki mwa China...
 
Naomba link ya hilo group la telegram......ili isilete usumbufu Naomba unipm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…