Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka
Mkuu, huu ubunifu ni wako? Hakika, wewe ni "kichwa". Hongera sana mkuu. Naamini wengi wataichangamkia hiyo fursa. Sitarajii huu uzi utapata comment za "unapigwa", n.k.

NB. Tripu kama hizi zisiishie mwezi March 2024. Ziwe endelevu🙏
 
Tuachane na mambo ya ukada tafadhali.. Ishu za exchange rate ni swala dogo sana sina interest na pesa za wajasiriamali hawa.. Ninacho aim ni kitu kikubwa sana ambacho nitakuwa ukombozi kwa wengi

Ningetaka kupiga hela ningepiga kupitia group za biashara za WhatsApp na Telegram kwa kutoza kiingilio kama wafanyavyo wengine.. Mimi watu wanafanya biashara za mamilion bure kabisa bila kutozwa hata thumni

Hizo group pekee zina watu 1500+ ningetaka faida wala nisingekuja Huku hao pekee wangenitosha

Angalia group hili MOJA pekee lina watu 800+ .. Hakuna kiingilio wala kitoleo.. Ningeamua kuchaji 5000 tu kwa mwezi nisingekosa si chini ya 4M kwa mwezi na kwa mwaka 48M+

Nje na tofauti zetu za kisiasa wote tunashare matatizo na changamoto zinazofanana! Nipo kusaidia sio kutengeneza faidaView attachment 2885001

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hata kama utajinufaisha kupitia hiyo tripu sidhani kama kuna ubaya wo wote. Bado utakuwa umefanya jambo lenye tija na manufaa kwa wanufaika. Kwa mfano, ukiamua kuchaji kama dola mia moja ya kiingilio kwa kila mwendaji hilo lisingemkwamisha mtu aliye serious. Kwa kifupi, unachokifanya ni kizuri na hata ukiweka ada ni halali.
 
Mkuu, huu ubunifu ni wako? Hakika, wewe ni "kichwa". Hongera sana mkuu. Naamini wengi wataichangamkia hiyo fursa. Sitarajii huu uzi utapata comment za "unapigwa", n.k.

NB. Tripu kama hizi zisiishie mwezi March 2024. Ziwe endelevu[emoji120]
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku utaskia malalamiko ooh wabongo hatupendani,ooh wanaijeria na wakenya wanapeana sana connection,Sasa mwenzetu anataka kuwapa watu exposure Bado wanaleta vimanenomaneno
Yaani [emoji23][emoji23][emoji23] Halafu walio serious na hii ishu tayari michakato inaendelea..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini umekuwa so negative kwenye hii mada? Una agenda yoyote ya siri? Hakuna niliposema watu wanikabidhi pesa zao mbona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Take it easy mkuu! Assume hujaona vile. Unalilofanya lina tija sana. Angalia jinsi ya kuifanya ili iwe endelevu, hata ukiweka kiingilio ni sawa tu.
 
Acha kudiscourage watu, na siyo Kila mtu anapenda kuonesha waziwazi kama anaunga mkono wazo au lah, wengine ni watu wa kufikiri na kutafakari hoja na kufanya analysis then anachukua hatua ya kimaamuzi. Uzuri hoja/wazo liko very clear na Bado linampa nafasi ya kuexplore zaidi kabla ya kuchukua uamuzi kwa kutake advantage ya timeline ni ya kutosha.
✅🙏🙏🙏
 
BTW watanzania na hususani wajasiriamali walio wengi wamekuwa makini sana na taarifa za mitandaoni hivyo siyo mburura/ignorant kama mnavyowachukulia baadhi yenu. Utapeli wa biashara za china kwa wafanyabiashara hapo kariakoo umewafundisha wengi sana. Si rahisi mtu awe na zaidi ya 5M kwa Sasa ukamtapeli kirahisi. Waliotoa maoni kuhusu tahadhali za kuchukua kutokana na fursa iliyotolewa na Mshana Jr wamefanya vizuri tena kizalendo lakini hawapaswi kubeza idea yake. Watanzania tumekuwa tukitishana juu ya fursa ndo maana unakuta mtu ana kamtaji kake lakini kutokana na vitisho vya wengi anaambulia ama kughairi au kutochukua uamuzi na kutapanya mtaji wake. Tunachohitaji watu wawe wazalendo kwa nchi na watz wenzao, hata kama coordinator atapata chochote nae siyo mbaya ili mradi amewapa watu exposure nao wakapata pa kuanzia. Kwenda China siyo kama kwenda Kizimkazi, unahitaji watu wenye connection na exposure. Naomba tusimkatishe tamaa mleta idea na wale walionza kuhamasika japo tahadhari ni mhimu kwa Kila fursa.
Umenena kwa hekima! Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom