Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Punguza ujuaji. Usidhani unachojua wewe wengine hawajui. Mimi naongelea uhalisia on the ground ulivyo na sio hizo stori za utafiti. Kijana kajibana 5m yake halafu aende kuzipoteza kwenye nauli na malazi ili tu kuiona China? Halafu akitoka China anaanza upya kutafuta mtaji. Mimi ninawasihi vijana wenye chini ya 5m waendelee kupambana mitaji ikue na huko China wataenda tu kilaini bila kujilazimisha.
Sio ushauri mbaya pia ndugu!
Ni mzuri
So mtu aangalie uwezo wake
 
Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..

Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake

Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao

Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti

Sent using Jamii Forums mobile app

Confirmed. Na ukinisahau nakuroga!!
 
Habari kaka mshana.

Sina mtaji kabisa Niko hapa tayari kwa fursa hiyo ya mali kauli itakapowadia
Kumbe hata wanakijiji wana haki ya kuamini kuwa mimi nina akili sana kama hata magreat thinker kama wewe unanifananisha na mkuu Mshana Jr basi niseme nini zaidi ya kujiita genius .

Mkuu limeisha hilo mkuu Mshana Jr atakuwa ameona na yeye sasa ajue anaye pacha anayeitwa mimi kiakili

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Update kwa ufupi
Mpaka sasa walio confirm safari wenye passport ni watano! Wengine wana nia lakini bado hawana hii nyaraka muhimu

Ofisi zetu zilikuwa Dar wilaya ya Ubungo lakini tunazihamishia Kibaha mkoa wa Pwani wiki hii, hii ni kutokana na kupata kibali cha ushirikiano toka mamlaka husika! Hivyo kuanzia sasa si jambo la kupeleka watu China tu bali sasa ni Platform ya kutengeneza fursa za kibiashara na uwekezaji toka upande mbili za Tanzania na China
Hivyo basi kuanzia next week ofisi zetu zitakuwa ndani ya NEW KIBAHA SHOPPING MALL hivyo shughuli zote za safari zitafanyika hapo

Ofisi zitakuwa mkabala na kituo cha mabasi cha ujenzi

Mambo muhimu kwa ajili ya safari
1. Hati ya kusafiria.. (Passport)
2. Barua ya mwaliko (okay kwetu kwa Gharama husika)
3. Booking ya ndege na ikiwezekana malipo ya ticket
4. Booking ya hotel/pa kufikia (hiyo itatoka kwetu)
5. Cash deposit bank (utakayoenda kununulia mzigo na kuishi)
6. Inawezekana ikahitajika TIN na leseni nk kwa ajili ya visa
7. Gharama zote hizo zitakuwa juu ya msafiri lakini ni gharama nafuu sana na zenye usaidizi wa mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba link ya hilo group la telegram......ili isilete usumbufu Naomba unipm
Mshana heshima yako tafadhari
Watu wengi wanaweza kukuona unaitikadi za kitaperi
Lakini ni moja ya mabrother wako humble Sana humu
Na mwepesi Sana kusaidia inaweza kua si kwakukupa chochote lakini namna yakusikiliza shida unajua Sana brother
naomba nikutext normal text msaada wako kujiunga group hilo la Whatsapp
Nakumbuka ulinipa namba bila wasiwasi respect kubwa kwako
 
Update kwa ufupi
Mpaka sasa walio confirm safari wenye passport ni watano! Wengine wana nia lakini bado hawana hii nyaraka muhimu

Ofisi zetu zilikuwa Dar wilaya ya Ubungo lakini tunazihamishia Kibaha mkoa wa Pwani wiki hii, hii ni kutokana na kupata kibali cha ushirikiano toka mamlaka husika! Hivyo kuanzia sasa si jambo la kupeleka watu China tu bali sasa ni Platform ya kutengeneza fursa za kibiashara na uwekezaji toka upande mbili za Tanzania na China
Hivyo basi kuanzia next week ofisi zetu zitakuwa ndani ya NEW KIBAHA SHOPPING MALL hivyo shughuli zote za safari zitafanyika hapo

Ofisi zitakuwa mkabala na kituo cha mabasi cha ujenzi

Mambo muhimu kwa ajili ya safari
1. Hati ya kusafiria.. (Passport)
2. Barua ya mwaliko (okay kwetu kwa Gharama husika)
3. Booking ya ndege na ikiwezekana malipo ya ticket
4. Booking ya hotel/pa kufikia (hiyo itatoka kwetu)
5. Cash deposit bank (utakayoenda kununulia mzigo na kuishi)
6. Inawezekana ikahitajika TIN na leseni nk kwa ajili ya visa
7. Gharama zote hizo zitakuwa juu ya msafiri lakini ni gharama nafuu sana na zenye usaidizi wa mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimo kati ya hao watano? Mimi ninavyote.
 
Duh, hongera aisee
Sasa wenye akili hii ni Wachache sn
Na watakakuelewa hapa Wachache, wengi wanaangalia faida ya pesa kwanza!
Mi Nina roho ngumu😅,nilienda SA (jorbeg) na basi ,ila nilirudi Kwa ndege na nilijifunza vitu kibao ile nataka nianze mishe ndo COVID ikaingia mipaka ilafungwa Kila kitu kikaharibika....😅
Mi kwakweli nikipata nauli na kulala naenda sitakosa kujifunza kitu chochote,bongo exposure Bado sana ..
✅👏👏👏🙏
 
Back
Top Bottom