Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Nimekupigia sana hupokei

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona pm yakko imefungwa naomba niunge kwenye hilo group la telegram mkuu nami nataka kuwepo katika hiyo safari niko serious mkuu halafu kule pwani investment simu ilipata shida ikaharibika kipindi nilipatwa na msiba yaani nilivurugikiwa mkuu nisaidie kuniunga huko telegram
 
Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi gharama sio mbaya. Very fair. Ila hapo namba 5 kweli haiwezi pungua 300k... angalau 500k. Ninawashauri wale ambao hawataenda kwa wakati huu wahamasike kutafuta passport kwanza ili siku wakijiweza wasitaabike kuanza kutafuta passport. Wajanja wote hutafuta passport wakati ambao hawana uhitaji wa kusafiri. Mimi nilitafuta passport enzi ninalala chini kwenye godoro bila kitanda. Nilikuwa na imani kubwa kuwa ipo siku nitaanza kusafiri na kweli miaka minne baadae ndo nikaanza kugonga mihuri.
 
Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
km mtu anataka apeleke biashara yake huko ya ujasiriamali je inaruhusiwa au utaratibu ukoje best
 
Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
daah! mungu nione hitaji langu basi upesi kwa mapenzi yako mambo mazuri kama hivi yananipita
 
Back
Top Bottom